Haya ndiyo mambo yaliyofanya Tanzania kuwa na uchumi mkubwa na sarafu yenye nguvu zaidi ukanda huu na nchi nyingi tu Africa lkn kina mkapa waliharibu kila kitu na kuturudisha nyuma na privatisation yao.
Tatizo la ndugu zetu hawa wamekuwa wakionyesha wivu pale Tanzania inapoonekana kufanya vzr katika mambo wanayotamani wangekuwa wao, ni muda mrefu humu wamekuwa wakikashifu China na kusema sisi ndugu zetu wachina wao ndugu zao wamarekani, lkn leo baada ya kuona China anatoa mpunga na Marekani...
Ukisema hivyo sidhani kama ni sahihi mana ukweli ni kwamba Tanzania ipo juu ya Kenya kwa uhuru wa habari na report zipo, labda kama unataka nikuwekee hapa.
Ila we jamaa bhn kwa kulazimisha nyekundu kuwa njano hujambo 😅😅😅😅😅😅😅
Muda mwingi nimekuwa nikikufuatilia humu unapinga kila kitu, duuhh wewe ni kiboko aisee 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Kama hii miradi itakamilika na kuanza operation; SGR, JNHPP, EACOP, sidhani kama kuna nchi itaikaribia Tanzania kiuchumi hapa East and central of Africa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.