Recent content by kichacha

  1. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Niwape mbinu mbadala yakutokua na arosto, Tafuta story nyingine uwe nazo japo mbili tatu unafuatilia, mfano kuna mtu humu alitoa linki ya story kumi kali humu JF, kuanzia pale me sipati arosto kabisa, Ukisoma na comment za wadau, aloo watu wanastori nzuri zimo humu humu na hujawahi kuziona...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kifo cha hawara (Mkono Wa Jini)

    Japo nmekuja taratib sana, nimewakuta. Kinachoonekana mpaka sasa, Tuendele kunywa mtori nyama zipo chini….
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini na hakikisheni mkitoa pesa benki mnapata ujumbe wa salio lililobaki

    Hiii ata mm ilishanikuta, me hua natoa mara nyingi laki6 kwa mara moja, cpendi kutoa ndogondogo kupunguza makato, na hua nafuatilia sana balance, iyo cku nlipitisha kama wiki cjatoa ela na nnajua balance ni kiasi gan, nakuta kuna upungufu wa 600k, doh tuligombana sana pale kkoo, nakumbuka...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Wakuu naja kwenu, naomba kujua kuusu wakala wa benk, mashine zile naweza pata mkononi, kama ndio nipeeni connection… au lazima ukanunue bank husika,,,
  5. K

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Yeyote ana storyy nzuri uku utupee wakati tunasubiria mshua atupee iyo mpya
  6. K

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Kama umewahi kupitia INSIDER MAN nayo si haba.
  7. K

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

    Ukiwa unapiga moja moja za barid na hii stori, vinanogile
  8. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Tunaochungulia huu uzi kila siku kuchek kama kuna jipya tujuane😂
Back
Top Bottom