Recent content by Kibwana Mruguru

  1. K

    Hatimae mzee kavuta 98m za kiinua mgongo

    Acha ale hela zake maana anamiaka miwili tu yakuishi
  2. K

    Ni sahihi mimi kulipa gharama hizi za umeme?

    Mwanaume unalalama kama Demu vile
  3. K

    CDF Mabeyo: Urasimu katika maghala makuu wachelewesha usafirishaji korosho

    Atakuwa amemezeshwa maneno jeshi halijawahi kushindwa labda kama ni mgambo wa kariakoo sokoni
  4. K

    JE UNAJUA?

    Hao wachache walio humu wanaishi mtaani pia
  5. K

    Pamoja na kundi kubwa la walinzi nililomwona nalo hapa Arusha, Chifu Nanga anahofia nini kuhusu nafasi yake?

    Siku zote nyumba zenye mageti zinashinda zimefungwa siku Ukiona Geti lipo wazi ujue kunamsiba Tafakari
  6. K

    Yani mpaka sasa wataalam wetu hawajajua ni kitu gani kilianguka Kagera

    Wambie wakaangalie kwenye Setelite itawaonesha kilichotokea
  7. K

    Kauli ya Magufuli inathibitisha pasipo shaka kuwa anaingilia mhimili wa mahakama

    Kwani yeye alitaja kiongozi au alimwambie awambie anao waogoza
  8. K

    Ulianza kufanya mapenz ukiwa Na miaka mingapi?

    Ukishajua inakusaidia nn labda
  9. K

    Watanzania mlioko Afrika Kusini tusaidieni kutuondolea hii hofu ya ' Kimajonzi ' inayoanza Kutawala sasa Tanzania

    Hapa kuna mada mbili zinachanganywa sijui ipi ni ipi sasa Kati ya Mawingu na Bibi wataifa
  10. K

    Baba yangu ni mkatili. Ananifukuza na sina pa kulalamika, nabaki na huzuni

    Wew unahisa kiasi gani hapo kwake nyie ndio wale munaombea wazee wenu wafe ili muuze nyumba pumbavu wew nenda kalale stend ya mkoa kule
  11. K

    Nampinga Tundu Lisu kuwa mifuko ya Pensheni imefilisika

    Unapinga kwa sababu hujiu kuwa miradi mingi inayoendelea imekopa hela kwenye hiyo mifuko Ukijua utanyamaza Tulicho nyimwa sisi wana Ccm ni elimu ndio maana kila kitu tunasifia tu bila kuhoji
  12. K

    Jambo Fikirishi: RC Makonda, unamchezea Rais?

    Ukitaka uishi vizuri saiz fanya kazi zako maliza tulia ukitaka serekali hii ikufurahishe utapata strolck upinde Domo na miguu acahana na mambo hayo
Back
Top Bottom