Afu halipii Kodi yoyote kweny serikal yetu zaidi ya kulipia kifrem alichopangisha ni sawa na wakala wa tigo pesa iyo sio haki unaingiza million 50 kwa mwezi afu unalipia laki 5 ya jengo na tra laki mbili kwa mwaka
Wanao toa hela au wanaolipia website ya mange ili wapate umbea ni wajinga nao watu tuna peruzi bure tu bila hata Mia kwenye website take Nina account tano na zote zijalipia hata mia
Habari wana jf kwa anayefahamu kiasi gani kitanikosti nikisafirisha mzigo wa kilogram 50 na mzigo wa kilogram 100 kupitia kampuni za hapa bongo zitakosti Bei gani? Tafadhali naomba nijue kwa anaye fahamu asanteni
Wakuu habari ya November Nina dogo yuko Dodoma ndani ndani Kijiji kimoja kinaitwa Ibedya amemaliza darasa la Saba amepata wasatani wa 'D'/amefeli naomba nifahamu inawzekana akaja Dar akarudia darasa kwenye shule ya Serikali? Kama inawzekana process zake ziko vipi?
Natanguluza shukrani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.