Recent content by Kibukuasili

  1. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Hatua za kikanuni za Bunge zitakazochukuliwa dhidi ya Luhaga Mpina ziambatane na hatua muafaka za kikatiba za CCM kumng'atua

    Zimepita siku nyingi nilikua sijasoma upuuzi. Thanks for posting
  2. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania FULL TEXT: Maelezo ya Ushahidi wa Luhaga Mpina kwa Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson juu ya Waziri Hussein Bashe kusema Uongo Bungeni kuhusu Sukari

    Hili tatizo la sukari lipo miaka mingi sana nchini. Nakumbuka hata waziri Idi Simba lilimsumbua wakati wa Mkapa. Kuna hela nyingi sana kwenye hii kitu. Dawa yake ni sisi wananchi kuacha kutumia sukari. Tutafute alternative yake.
  3. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

    Shida kubwa watu mnalinganisha "active income" na "passive income" UTT, fixed deposit, bonds, etc ni namna ya kupata passive income inayoongezea kwenye main income yako/active income. Kwa mfano una business inayokuingizia faida kubwa mnazozitaja, lakini inakufanya uwe busy kiasi kwamba huwezi...
  4. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Uongo na upotoshaji unaosambazwa kuhusu ujio wa DP World Tanzania

    Kilichopo ni kwamba wamebadilisha wanaonufaika na bandari. Mwanzo ilikua watanzania wenzetu walioamua kuwa wezi, sasa ni mwarabu. Kwa mtanzania wa kawaida panaweza kuwa na nafuu kama mwarabu ataleta ufanisi na kupunguza gharama za kutoa mizigo. Hilo ndio tarajio langu. Vinginevyo tumebadili...
  5. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Padri wa Kanisa Katoliki aliyefukuzwa afunguka

    Lingine nafikiri ni kutoa siri ya kitubio
  6. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Hatari za kuchelewa kuoa

    Ndoa ni zawadi toka kwa Mungu. Usimpangie lini akupe. Uki force kutokana na pressure za jamii utaichukia Mke kukuheshimu inategemea na wewe mwenyewe unavyojiheshimu, unavyomuheshimu na unavyoyaheshimu maisha. Nyingine ni stori za vijiweni.
  7. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Mambo Nyeti Usiyoyajua Kuhusu Iddi Amin Dada, Kula Nyama za Watu?

    Idd Amjn alikua kiongozi mzuri tu sema hakuwa msiri kama viongozi wengine wa afrika. Mambo aliyoyafanya wanafanya na wengine lakjni kwa siri Alifukuza wahindi kwa sababu wakati waingereza wanakndoka mojawapo ya makubaliano ni kugharamia kuwarudisha wahindi kwao India au kuwachukua kwao...
  8. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Baada ya Safina ya Nuhu kutua Mlima Ararat, wanyama walifikaje kwenye mabara mengine?

    Ukisoma Biblia kama novo itakusumbua sana. Sali kwanza uombe roho mtakatifu akuongoze katika kuielewa na kuitafakari. La sivyo utahoji kila kitu. Kwa mfano genesis 1.27 inasema Mungu aliumba mwanamme na mwanamke. Sasa jiulize huyu aliyetoka ubavuni siku za baadae baada ya Mungu kumwona mwanamme...
  9. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uwanja wa Ndege wa Zanzibar una huduma mbovu, mtalii anazongwa na watu wenye uniform na wasio na uniform utadhani mwizi

    Msafiri kutumia hata zaidi y nusu saa airport ni kawaida duniani. Kikubwa ni kuwe na utaratibu unaoeleweka . Kitendo cha wageni kuhangaishwa kiholela na wafanyakazi wasio na uniform na vitambulisho waljvyovaa wamevigeuza usiweze kusona jina ndio tatizo. Kama kuna utaratibu mzuri mgeni ataona...
  10. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Anti-Social wenzangu tujuane tabia zetu

    Sijui kama na fit kwenye kundi hili au la. Ni hivi Sipendi kuangalia TV Kabisa. Naangalia pale tu kukiwa na tukio maalum. Pia nikipata TV series nzuri za action like NCIS la huwa naangalia Sipendi soka! Napenda michezo lakini sio soka. Rafik zangu hunishangaa nikikaa naangalia marathon live au...
  11. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Mwili wa Padre aliyetoweka jimboni Mbeya Juni 10, waokotwa kando ya mto

    Siku hizi upadre sio wito, ni kazi tu kama utabibu, udereva, ukuli, nk. Matatizo wanayokutana nayo mapadre ni matokeo ya kukosekana wito. Wito umeondoka na heshima iliyokua imeambatana nao, kwa hiyo sasa mapadre hawana heshima tena. Wakiteleza Dunia inawaadabisha kidunia
  12. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Katika Mikenge wananchi wa kawaida tuliwahi kuingizwa na kununua hisa za Voda

    Kwenye uwekezaji kuingia chaka ni kitu cha kutegemea has ukiwekeza bila kufanya utafiti mzuri. Sehemu sahihi au salama ni UTT au kwenye govt securities, japo huko returns ni ndogo. Kama unafuata "the higher the risk the higher the returns" ujue ni risk ipi uko tayari kuipokea. Mimi nilikosea...
  13. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

    Hukunielewa. 60m nilikua nazo nikaweka Jikimu wakati naendelea KUTAFUTA nyingine. Zilipofika 100m (yaani nilikua NAONGEZEA, sio faida ya jikimu) nikafikiria nijenge au niziache tu jikimu, jibu likawa faida ya kuziacha ni kubwa. Nafikiri tumeelewana sasa.
  14. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Spend and God will give
  15. Kibukuasili

    JamiiForums Tanzania Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zenye watoto wa miaka 4

    Mchangiaji alitolea Tabata kama mfano tu
Back
Top Bottom