Hapa kunamambo mengi ya kuangalia kwanza mimi sio hodari wa kuandika ingekuwa naweza weka sauti ningejaribu kuweka ili kila mmoja apate faida maana nimemaliza kufanya huu mchakato mwezi uliopita
Naomba unicheki 0712790639 nitakusaidia kwa ushauri
Naomba mnisaidie Kama wakala wa mpesa sijapata commission zangu za mwezi wa Saba nikipiga kwa voda wananiambia niongee na wakala mkuu na nikiongea na wakala mkuu anasema amesharequest makao makuu Ila hawajamjibu.
Sasa nifanyaje?
Naomba mnisaidie Kama wakala wa mpesa sijapata commission zangu za mwezi wa Saba nikipiga kwa voda wananiambia niongee na wakala mkuu na nikiongea na wakala mkuu anasema amesharequest makao makuu Ila hawajamjibu.
Sasa nifanyaje?
Naomba mnisaidie Kama wakala wa mpesa sijapata commission zangu za mwezi wa Saba nikipiga kwa voda wananiambia niongee na wakala mkuu na nikiongea na wakala mkuu anasema amesharequest makao makuu Ila hawajamjibu.
Sasa nifanyaje?
Natafuta mtu anayefanya biashara za namna hii,
Yaani anachukua bidhaa kwenye masoko makubwa na kupeleka kwenye masoko madogo Kama yupo humu tuwasikiane niweze kujifunza kupitia kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.