mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 10,237
- 13,970
Hii inawezekana kwa mazao ya mahindi na mchele tu.
Kwenye viazi haiwezekani kwa sababu viazi ni bidhaa ya kuuza chap chap vikikaa sana vinaoza.
Kwa hiyo ni biashara ya kuuza ndani ya siku 3 mpaka siku 7 uwe umeshamaliza mzigo ukizidisha hapo vinakuozea unakula hasara.
Kwenye viazi haiwezekani kwa sababu viazi ni bidhaa ya kuuza chap chap vikikaa sana vinaoza.
Kwa hiyo ni biashara ya kuuza ndani ya siku 3 mpaka siku 7 uwe umeshamaliza mzigo ukizidisha hapo vinakuozea unakula hasara.
Akitokea mtu smart hii fursa inawezekana. Akinunua kwa cash ananunua kwa bei punguzo maana wakulima hawatotaka risk ya kumwachia dalali wa kulipa baadae. Anachofanya huyu mnunuzi smart ni kuwa na hifadhi. Anakuwa dalali na msambazaji, ni kama retailer au market maker. Sema huo mtaji wake ni mrefu.