Naomba connection ya mtu anayetoa Biashara bara kupeleka visiwani kama Unguja, Pemba na Mafia

kibonge90

Member
Sep 6, 2015
53
39
Naomba nipate mtu anayesafirisha biashara yeyote kutoka bara kwenda huko Pemba, Unguja Mafia na sehemu zingine za visiwa kupitia bagamoyo, Dar au Tanga.

Lengo ni kutaka kujifunza jinsi ya usafirishaji wa bidhaa na kujuwa biashara kwa ujumla wake huko visiwani.
 
Ma ajenti wapo bandarini hapo wa unguja na pemba ukienda utawakuta au bagamoyo wapo kupitia majahazi
 
Naomba nipate mtu anayesafirisha biashara yeyote kutoka bara kwenda huko Pemba, Unguja Mafia na sehemu zingine za visiwa kupitia bagamoyo, Dar au Tanga.

Lengo ni kutaka kujifunza jinsi ya usafirishaji wa bidhaa na kujuwa biashara kwa ujumla wake huko visiwani.
Nitaweza kukupa ya mtu wa Mafia but ye hutoa mzigo Mafia na kuleta Dar so sijui atakusaidia?
 
Back
Top Bottom