Nitaweza kukupa ya mtu wa Mafia but ye hutoa mzigo Mafia na kuleta Dar so sijui atakusaidia?Naomba nipate mtu anayesafirisha biashara yeyote kutoka bara kwenda huko Pemba, Unguja Mafia na sehemu zingine za visiwa kupitia bagamoyo, Dar au Tanga.
Lengo ni kutaka kujifunza jinsi ya usafirishaji wa bidhaa na kujuwa biashara kwa ujumla wake huko visiwani.
Mkuu nipe connection nna wadudu kibao hapa mbeyaKuna jamaa yangu anapelela mdudu kwa jahazi, inalipa sana