Usimamizi wa biashara za kifedha

Usimamizi wa biashara za kifedha

Naomba mnisaidie Kama wakala wa mpesa sijapata commission zangu za mwezi wa Saba nikipiga kwa voda wananiambia niongee na wakala mkuu na nikiongea na wakala mkuu anasema amesharequest makao makuu Ila hawajamjibu.
Sasa nifanyaje?
 
Back
Top Bottom