uislam sio dini ya waarabu rafiki angu, mtume muhammad ndiyo alikuwa mwarabu na mungu alikuwa akimshushia ujumbe kupitia malaika jibril hivyo ni kweli kwamba awali waarabu wengi ndiyo waliokuwa wakifanya jitihada za kuusambaza ulimwenguni kote, (qur-an 3;19 au efeso 4;4-6)
hakuna cha kushangaza! hao madiwani ni kama watu wengine! wakivunja sheria za nchi lazima washikishwe adabu! kama ni haki au dhurma itajulikana mahakamani! full stop!!
huwezi kupandisha bendera ya nchi nyingine ndani ya ardhi ya Tanzania, serikali inatakiwa kuwashughulikia ipasavyo, kama wamechoka kuishi Tanzania waende wakishi uko uko kenya, pumbafu!!!
huwezi kupandisha bendera ya nchi nyingine ndani ya ardhi ya tanzania, serikali inatakiwa kuwashughulikia ipasavyo, kama wamechoka kuishi Tanzania waende wakaishi uko uko kenya,
Huwezi kupandisha bendera ya nchi nyingine ndani ya ardhi ya tanzania, serikali inatakiwa kuwashughulikia ipasavyo bila ya kuwachekea, kama wamechoka kuishi tanzania waende uko uko kenya,
jamani mbona mnafikilia kitu ambacho kisichowezeka! Dr. slaa awe rais wa nchi gani? mvuto wa dr. slaa umeshafutika yaani kwishney, na kwa sasa hata akigombea udiwani hawezipata!
achani kuweweseka kwanini msiende mkapange ratiba ya misa, mnakaa mnajadili kitu msichokijua, OIC kama hamhitaki sisi tunaitaka, yaani tatizo mnapenda kurukia rukia mambo, mpiga mayowe weeee ya mahakama ya kadhi hamjachoka tu, mnatuboa bwana
Nyeupe siku zote itabaki kuwa nyeupe na nyekundu itabaki kuwa nyekundu, Chadema msitake kubadili nyekundu kuwa njano, Padri slaa hana mpya, tushamchoka sasa, nafasi ya urais tumwachie kijana shupavu na jasiri mh, kabwe.
Mtoa mada hii inakuhusu,
'''amani tuliyonayo haikushushwa na mungu''' = fahamu kwamba kila jambo liwe baya au zuri lipo katika miliki ya m'mungu.
''' waislam na wakristo mungu wetu ni mmoja''' = fahamu kwamba waislam mungu wao ni mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa wala hafanishwi na kitu chochote na...
''kufungwa twafungwa lakini chenga twawala'' ndio nini sasa? mashabiki tunataka magoli sio chenga! baada ya kichapo cha magoli 22 kwa 05, chadema naona sasa mmeanza kuweweseka, hakuna haja ya kutafuta 'x' wakati hesabu ya 22 na 05 ni rahisi na aihitaji mjadala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.