Recent content by KIBOGOYO2010

  1. K

    Kauli ambazo wanawake wanapenda kuwaambia wanaume

    Ushanifanya shamba la bibi.................... Hapo umekopa kupita kiasi.. Frequence nyingi bila pesa
  2. K

    Madaktari wamjibu Antony Lusekelo...

    Kutokana na maneno machafu yalitolewa na mchungaji huyo madaktari wamjibu na kumfundisha anthony lusekelo kuisoma biblia vizuri, kifungu cha maandiko matakatifu kinachompa daktari mamlaka ya juu. hiki hapa Kitabu: Biblia takatifu: Yoshua Bin Sira 38:1-15 Baadhi ya mistari inasomeka hivi...
  3. K

    Wabunge zaidi ya 200 wafungwa macho

    kwa hali ya kawaida haingii akilini kujadili mkataba wa vijana bungeni wakati vijana wenyewe wanakufa kwa sababu ya migomo wa wafanyakazi wa secta ya afya, wabunge msifungwe macho na spika kesho msikubali kujadili chochote bila kujua mstakabali wa wapiga kura wenu. uuuuuuuuuuuwwweeeeeeeeeee...
  4. K

    Nawaunga Mkono Madaktari

    ikiwa takribani siku ya tatu mfululizo madatari tanzania kuigomea serikali kutoa huduma kwa wagongwa kwa madai: 1. Kuitaka serikali kuboresha huduma kwa wagonjwa ( kutokulala chini, kukosa vipimo muhimu, dawa, oxygeni, vitendea kazi vinavyopelekea kutoa huduma duni) 2. Kuipiga marufuku...
Back
Top Bottom