Yaan ilkuwa shida......ilkuwa inabidi nikitoka mzigon nipite town nizuge mpaka saa nne usiku ili nikute mafundi wameliza kuchomelea mavyuma Yao na Mimi ndo nilale.......ilibidi niache Kodi ya miezi mitatu mzee
Okay......nitakuja mzee......wacha nikupe hint mzee ukipata kununua gari epuka kutumia madalali mtafute mmliki personally.......mwaka Jana nmenunua ist Kwa 6M.......wakati ukiingia kwenye mitandao ya madalali bei ya ist inakwenda mpaka 13m
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.