Mbona kama hiyo loan ya Exim bank ilipigwa chini..Mimi najua phase ya kwanza I.e DAR to Morogoro wanatumia pesa yetu ya ndani. then phase ya moro to dodoma wamepata mkopo kutoka Stadanrd charted bank. Phase zilibakia hela haijapatikana bado. Sasa wewe hizo za Exim bank unazo ongelea ni zipi boss.?
Chukua simu yako ya mkononi weka kwenye microwave. Then call it through another phone, Ideally inatakiwa isipatikane. Kama ikipatikana , then hiyo microwave inarelease waves hadi nje so stop using it...Cited from Science of stupidity BY NAT GEO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nchi kama Yemen, Central Africa Republic, south Sudan, Somalia, mbona kama tunawapiga bao mbali sana. Au wametumia vigezo gani boss?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.