Recent content by kibila

  1. K

    Aweso amwaga chozi kisa kuulizwa “Kwanini licha ya miaka 64 ya uhuru bado maji ni changamoto?”

    Mwanza maji ni shida kwa iyo Maji mwanza ni tatizo napo wamlaumu jiwe?
  2. K

    PreGE2025 No reform, no election ni kukimbia kushindana!

    Mtoa mada ni mbumbu kweli
  3. K

    Kama unataka kuwekeza biashara yoyote Tanzania ujiandae kukumbana na urasimu

    Nchi ngumu alafu tukiwa tunasema haya hao wenye mamlaka wanatuona km tunachekesha ivi hawajali kabisa Hawa watu,alufu ndio eti tutaendelea hahaaaa
  4. K

    Tatizo la umeme wa solar kuisha haraka

    Boss ungeweka utaalamu wote hapa
  5. K

    Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) yafafanua madai ya kutoa mafunzo ya Mitaala kwa Walimu bila kuwapa posho

    Naungana na wewe kiongozi hii haiko sawa,ivi hawa watu wanajua kutoka eneo mojahadi jingine unaweza kulipia pesa nyingi zaidi ya iyo elfu 3 kwa siku?
  6. K

    Mji wa Goma (mashariki mwa DRC) watanda giza

    Akili Gani hii?ila wabongo ni vituko sana
  7. K

    Hivi Waafrika hatuna akili?

    Kutoka kusapotiana ndio kukosa akili kwenyewe
Back
Top Bottom