Kitengo hiki kimekuwa kinatutesa Sana wakandarasi(Sector binafsi), kwani wakipelekewa madai ya wakandarasi na waajiri (Clients) wao wamekuwa wanazingua Sana kulipa!
Kwa mfano kwa Sasa hivi wamekaa na invoice za Malipo ya wakandarasi zaidi ya miezi 3 Sasa!!
Fikiria mkandarasi huyo huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.