mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
Kwani Rais Magufuli ni Rais wa CCM au ni Rais wa Watanzania wote?Hivi ndio TV za nchi jirani zinavyo m-describe Mzee Baba, kama mtu MKAIDI.
Je, mkaidi ni mtu wa aina gani? Huyo kwa kiingereza ni Stubborn na huwa hafai kwenye jamii kwani aweza kuleta madhara makubwa.
Kwa vile hayo yamesemwa sana hapa ndani na wapinzani wake na kitengo cha propaganda cha CCM kulivalia njuga jambo hili, ni wakati sasa Polepole na timu yake kupambana na majirani zetu wanaomwita Mzee Mkaidi kwa nguvu ileile wanayoitumia humu ndani.
Ila jambo moja la kujiuliza ni kuwa kwa nini kila mtu na akili zake anapata picha kuwa Mzee ni Mkaidi?
View attachment 1396496
Sent using Jamii Forums mobile app