Recent content by Kibe Zamorano

  1. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania During sex: What is your favorite song to hear?

    Huyo Mtoto Kautaka by Jaivah.
  2. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Humu ndani mbona kimya?
  3. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la Wadada Wanaonuka Mdomo. Hili ni Janga

    Mimi dosari kubwa kabisa ambayo naweza kuiona kwa mwanamke ni kunuka mdomo. Tena nikishakugundua una harufu ya mdomo ujue uchumba wetu ndiyo unaenda kufa kifo cha mende very soon!
  4. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Wizi wa mapato ya Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam ndiyo sababu kubwa ya DP World kukabidhiwa

    Mkataba wa DP ni mzuri kiutekelezaji. Lkn ni mbaya kwenye vipengele vyake. Hapa duniani hakuna mkataba wenye umilele.
  5. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Yanga yatakiwa kumlipa Luc Eymael Sh. 340m, wakishindwa kufungiwa kusajili

    @Illmatic kusema kweli sasa hivi pale Yanga pana bonge moja la ukata. Ni suala la muda tu.
  6. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Yanga yatakiwa kumlipa Luc Eymael Sh. 340m, wakishindwa kufungiwa kusajili

    Kaka ndiyo huyu kocha aliyewaita Yanga ni masokwe-watu. Maisha yanakwenda kasi sana!
  7. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Yanga yatakiwa kumlipa Luc Eymael Sh. 340m, wakishindwa kufungiwa kusajili

    Yanga kwa nini wanakuwa na tabia za dhuluma? Wamlipe pesa zake huyo mzungu. Yanga ni matapeli ndiyo maaana Fei Toto kaamua kujiweka pembeni na haya mauzauza.
  8. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima acha kumkana Job Ndugai; Rais nakujuza

    Wadau mimi nashauri mama apewe madaraka hadi 2035. Hii itasaidi kuwavunja nguvu Sukuma Gang na ndoto zozote za Urais wa taifa hili. Naomba WaTanzania wote wapenda maendeleo muniunge mkono khs hili jambo.
  9. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ameua Mhimili wa Bunge, bado kumalizia wa Mahakama. Haya si ya kushangilia

    Kitendo cha mzee Job Ndugai kufukuzwa uspika inabidi watu wote wapenda demokrasia tufurahie. Ndugai hakuwa na nia njema na utawala wa mama Samaia Suluhu Hassan.
  10. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ameua Mhimili wa Bunge, bado kumalizia wa Mahakama. Haya si ya kushangilia

    Mimi nawaomba Watanzania wenzangu tumuunge mkono mama Samaia Suluhu Hassan ili aweze kutuletea maendeleo kwa haraka.
  11. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania GE2020 DKT. Magufuli: Sasa ni wakati wa kujali maslahi ya Wafanyakazi

    Hakuna mtumishi wa umma hata mmoja atakayempa kura huyu dhalimu.
  12. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania GE2020 Inakuwaje viongozi wa dini wanapowasifia watawala wa CCM ionekane sawa, lakini inapotokea wengine wakawasifia Wapinzani wanaonekana wachochezi?

    Inauma sana kaka. Magufuli siyo kiongozi mzuri hata kidogo. Ametugawa sana Watanzania. Magufuli ni mjanja mno: anatumia ile falsafa ya "Divide and Rule".
  13. Kibe Zamorano

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

    Magufuli ni muongo huyu jamaa. Hataongeza mishahara hata kidogo. Watumishi wa umma musidanganyike. Safari hii Magufuli akirudi tena madarakani mujue atakuwa mtu mbaya zaidi kuliko hata alivyokuwa miaka mitano iliyopita. Chondechonde Watanzania wenzangu tushikamane sote kwa pamoja tumpunzishe...
Back
Top Bottom