Tunafahamu imewauma sana baada ya watanzania kupewa ukweli jana kupitia runinga ya Star TV, wasaka tonge mmevimba na kutoa vijambo vya kila aina vyenye harufu chafu, mmeshindwa hata kuchangia hoja mmebaki mnatukana matusi ya kila aina kwenye vigroup vyenu.
Leo tena mwendelezo...
Akili za kizombi kabisa hivi kwahiyo wewe nguvu anayotumia kibaraka Kafulila ya kufanya makongamano ni ndogo?? Unapaswa ujiulize kunanini mbona Kafulila anatumia nguvu kubwa hivi na kwanini ukawa wapo kimya mpaka sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.