si unajua waafrika wanapenda vitu vya duara kama chungu,mtungi,macho ya goroli so sio kitu cha kushangaa kupenda wezele c unaona kitu cha duara ukipakata hakuna aja ya kukata mauono kitu unakirusha tu hewani....full burudani....
Pole sn kaka kwa kifupi mwanamke hufiki alipo hana uwezo wa kuanalia alipotoka au anakokwenda cha muhimu fanya mambo yako asikupotezee muda piga chini fanya maendeleo acha stress za mapenzi mbona samaki wengi baharini...sikiliza wimbo wa single boy by alikiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.