Sahihi kabisa, ht mm nilijiunga JF kwa hamu kubwa kutokana na mijadala iliyokuwa ikijadiliwa humu, Kwanza nilikuwa msomaji tu kwa kipindi kirefu ndo bdae nikajiunga, nimeona jinsi kulivyo ss Ni doro sana
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.