Recent content by KIBABU03

  1. KIBABU03

    Diamond vs Ali Kiba: Tutaona Mengi

    Kiba anapata promo aonekane yupo juu ili kumshusha mond, ni kama Kwa Kanumba na Ray tuliaminishwa ni washindan lakni Ray alikuw anatembelea huu ushindan kuonekana yupo juu lakin hamna kitu, ni kama kwa Kiba na Mondi, Mondi ni level zingne sio Level za Kiba, Kamkuta kiba kweny Game, kajituma...
  2. KIBABU03

    Unawezaje kununua tunda lililong'atwa?

    Sijaoa bado, na nna mpango wakurud kwa m1 wapo., wazo lakurud limetokana na post ya huyu jamaa.. baada yakuona umuhim wake
  3. KIBABU03

    Unawezaje kununua tunda lililong'atwa?

    ni ukwel, japo unaweza kupingwa na wengi, nimejitafakar nimeona kuna uzito mkubwa sana kwel hoja yake. Nakumbuka nliowatoa bikra jinsi wanavyonitafuta na kuniheshimu mpaka leo. na wapo radhi kwa lolote. Nimeelewa uzito wa Bikra ulivyo. na wengi huwa hawasahau hiyo siku, tareh, jumangap...
  4. KIBABU03

    MSIGWA: Iringa hatukuwa na Uchaguzi, tulikuwa na vita. Vijana 15 wapo ndani, wengine wamevunjwa miguu

    Iringa kila upande ulijiandaa kwa mapambano.. aliyeshindwa ndio analalamika.
  5. KIBABU03

    Kwa mwendo anaokwenda nao Rais Magufuli, upinzani unakufa kifo kitakatifu.

    upinzani unapotea. na upinzan unajikaanga wenyew kw yule samaki waliyemuweka kweny tenga Edo, Si unajua Samaki m1 akioza. CCM walipoona Samaki yule kaoza wakamtupa, wapinzan wakamuokota hapi ndio matatzo yakaongezeka CHADEMA.
  6. KIBABU03

    Kafulila Asipotoshe Umma

    Ni Tanzania pekee vyama vya upinzan vinaogopa kuongelea Ufisadi. Mtakuja kumuelewa Dr Slaa Baadae sana alipouliza Edo ni Asset au Liability .
  7. KIBABU03

    Ubaya wa kuchagua upande

    By Kibabu03 Habari zenu wana JF. Kitu ambacho nakiona kikiendelea miongoni mwa Watanzania wengi ni hili janga lakuchagua upande wakusapoti, mfno Chama tawala dhidi ya Vyama Pinzani. Ukishachagua upande ni ngumu sana kuona mazuri ya upande ambao haujauchagua. mfno kama wew ni Mwana CHADEMA...
  8. KIBABU03

    Director DSTV; Compact, Compact + na Premier wote wapewe UCL

    Kitu kingine kweny kuongeaza..hata wenye compact tuwe na uwezo wa ku stream live kwny simu..sio kw wateja wa Premier. kwakwel Tukipata True 4G hawa jamaa watafung ofc. wateja wengi wa Compact , na compact plus ni kwaajil ya Soccer.
Back
Top Bottom