Ndoto ni tafsri na ishara za mambo ya kiroho kwenye nyakati zote wakati uliopita, uliopo na ujao. Lakin si ndoto zote ni zakiroho. Msijikute wasomi wa kindezindezi mnatoboa mpaka chuo kikuu kwa d mbili, mkifika humu mnajikuta mnajua kila kitu....
Ndoto ya kwanza umeota unaporomoka kwenye...
Pole sana mkuu,
kama hakuna hata mkataba au papers za kuonesha ushiriki wako wakununua hiyo gari basi kuna nafasi kubwa sana ya kutapeliwa mazima na huyo rafiki yako. Kuepuka kutapeliwa fanya hivi kama utaweza,
Kwanza, endelea kuwasiliana na rafiki yako kuhusu kuliuza gari jitahidi usioneshe...
Dini ni sheria
Dini ni utamaduni
Dini ni historia
Kwa sababu chache za hapo juu zinafanya dini kuwa ubanguzi na matabaka. DiNi SIO MUNGU.
Mungu ni IMANI.
Tukizungumzia biashara tena biashara za Tanzania ni vurugu mechi patashika nguo kuchanika yani fouls za kutosha hakuna haki kwenye angles zote, Kwaiyo Bi niffer azidi kupambana tu kwa upande wake na KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE.
vita ni vita Muraaah!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.