Haya bana nimekuelewa mimi ni mwanasheria na hayo nliyoandika nimeyatoa darasan kwa lugha ya kiingereza na kwa kuwa nilielewa sikutaka kumuomba mwalimu anielezee kwa kiswahili kwan ingenichanganya kipindi cha mitihani..
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kahtaan sijui nani.. Kwani shida ni nini?? Sio kila neno unaweza kulitafsir kwaa kiswahil katika wakati husika unapokua umeandika.. Cha muhimu ni ushauri aliotaka huyo dada kwa ajili ya rafiki yake.. Usichokielewa muachie BABA NA MAMA.. Acha kujudge mambo yasiyo ya msingi, huna hata aibu looh...
Consummation is wat constitutes a valid marriage na ndoa ili ikamilike kisheria inatakiwa iwe consummated on the first night and following days thereafter..
Kisheria ndoa yoyote inaweza kutenguliwa endapo itagundulika mmoja wa wanandoa anashindwa kufanya tendo; ana ugonjwa usioweza kupona hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.