Jamani kuna kina dada wengi tu wanapasua mbuga kimyakimya. Mimi namkumbuka dada mmoja anaitwa Vicky Manyanga alikuwa kipanga sana, nasikia sasa hivi keshapata PhD huko ughaibuni. Big up girls!:A S crown-1:
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input...
Pole sana boflo. inaonekana siku hizi watu wana stress sana za maisha. Nakushauri unapomega tunda wala usiwaze mimba wala nini, wewe enjoy ndoa yako tu. Utashangaa maajabu ya Mungu. Mimi hapa najiandaa kufunga uzazi kutokana na watoto wanazidi kuongezeka kila kukicha.
Kama wenzangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.