Recent content by ki2kombora

  1. ki2kombora

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Siku moja nilimuita demu wangu kanikuta bar. Sikutaka kumpeleka kokote zaidi ya kupata story tu ili zinogeshe mvinyu yangu ingawa yeye alikuja amejiandaa. Story ziliponoga na giza limekolea plus bia tukajikuta tunashikanashikana hadi genye zikazidi, alivua pichu kitu kikazama hapohapo kukiwa na...
  2. ki2kombora

    Kula tunda kimasihara: Jinsi Mungu alivyoniepusha

    Ungemkula ungekosa confidence kwwnye kesi yako bora ulivyomuacha. Yameshanikuta mara kadhaa
  3. ki2kombora

    Ni sahihi kumsaidia mpenzi wako wa zamani akikwama?

    Umachofanya sio sawa hata kidogo. Wewe msaidie bila kumkomoa. Haya ni maisha tu huwezi jua kesho utakuwaje. Usishangae huko mbeleni ukaja kuchakaa kuliko alivyo sasa na yeye akaja kufanikiwa zaidi yako. Hii ni dumia na maisha yanageuka wakati wowote bro!!
  4. ki2kombora

    Hamu ya kufanya mapenzi kila mara

    Ni umri tu. Wengi tulikuwa hivyo kqwnye umri huo lakini umri unavyoongezeka na majukumu kuwa mengi yakiwemo shule za watoto na mambo ya kifamilia na kijamii automatically genye zenyewe zinapungua. Kuchepuka sio suruhisho hata kidogo zaidi utamzidishia mkeo stress akigundua unachepuka. Jicontol...
  5. ki2kombora

    Hivi kwa nini baadhi ya wanaume mnafumba macho wakati wa sex?

    Umewaona wangapi wenye tabia hiyo? Kama anayo huyo mwanamme wako basi ni huyohuyo mwambie aache. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. ki2kombora

    Ni wakati gani ulitamani ardhi ipasuke uzame ndani yake?

    Utegemee kufanyiwa hivyohivyo utakapomzaa mtoto wa kike. Maana malipo ni hapahapa duniani. Mwanao watampiga mimba akiwa shule na usikasirike maana umefungulia pazia Sent using Jamii Forums mobile app
  7. ki2kombora

    Mahusiano ya kimapenzi yamekuwa chanzo cha uvunjifu wa urafiki wetu

    Urafiki ni urafiki tu. Ukiupoteza lazima kuna mambo automatically utapungukiwa. Kikubwa kuwekana sawa ili vinyongo visiwepo. Jaribu kuwatumia marafiki wa pembeni kumrudisha jamaa kwenye mood Sent using Jamii Forums mobile app
  8. ki2kombora

    Nilivyoridhishwa na mwanafunzi wa sekondari

    Iko kwenye kula tunda kimasihara ipo kitambo sana Sent using Jamii Forums mobile app
  9. ki2kombora

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sasa hizo ukumbuke ukumbuke zina maana gani? Ni nani ulikuwa naye wakati huo ili umwambie akumbuke? Hizi chai nazo ni shida sasa[emoji848][emoji848] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. ki2kombora

    Mahusiano ya kimapenzi kazini yakiwa motomoto inakuwaje na mnapoachana inakuwaje?

    Mkuu mapenzi hayazuiliki popote yapo tu!! Na kazi zinaenda kama kawaida. Ndiyo maana unaona watu wenye taaluma moja au kitengo kimoja wamaingia mapenzini hadi wengine kuoana. Mfano waalimu wanaoana, Watangazaji, watoa huduma hospitali nk. Hilo halikwepeki na kazi zinaenda kama kawaida Sent...
  11. ki2kombora

    Mahusiano ya kimapenzi kazini yakiwa motomoto inakuwaje na mnapoachana inakuwaje?

    Habari za leo wana jf. Naomba kwa wale waliowahi kuwa na mahusiano sehemu za kazi mtupe uzoefu wa kipindi mapenzi yakiwa motomoto na kipindi yanapokatika. Binafsi nina visa kadhaa vya mapenzi sehemu za kazi kama ilivyo ada binadamu tumeumbwa kupendana. Miaka kadhaa iliyopita niliwahi kuwa na...
  12. ki2kombora

    Naomba nisaidiwe washauri wa mambo ya biashara na uchumi, nawapata wapi?

    Ok asante sana Sent using Jamii Forums mobile app
  13. ki2kombora

    Naomba nisaidiwe washauri wa mambo ya biashara na uchumi, nawapata wapi?

    Ulizamaje mdau? Nielekeze mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. ki2kombora

    Naomba nisaidiwe washauri wa mambo ya biashara na uchumi, nawapata wapi?

    Mimi ni mkazi wa Kigoma. Natamani sana kupata ushauri wa ki-biashara na uchumi katika eneo nilipo. Wadau nisaidieni kama wapo maeneo ya Kigoma niwapateje? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. ki2kombora

    Nimejiunga na familia ya JF

    Nipo Kigoma pia ifate pm nikusaidie somo kuhusu jf kuanzia ID na picha pia Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom