mkuu ushauri wa bure...
tafuta hobby ..hii hupelekea ndoa nying kuyumba lately....unatakiwa kuishi na mwanamke kwa akili...
ndiyo una haki naye, ila wanawake bwana hawakosi sababu, hapo utamfanya atafute hata mradi, akitoka job apitie ashinde huko mpaka saa tatu akirud aanze story za uchovu, huko atajenga marafiki wapya na kupokea external vishawish,,,unajua mke hata umpe hela vipi ni jukumu lako , ila akihongwa hata laki nje ataona bonge la bingoo....so kaa naye kwa akili, usimkaze sana ..anza kumpangia ratiba..una vusha hata siku mbili humpigi show,,ila hizo siku mbili ni care la ajabu,,mara mpike wote, mara ukamtafutie zawadi gafla usiku , mara mtoke mkale nje..ili mradi uwe busy naye..
waswahili tunaita ku marinate nyama..afu ikiiva unaila ipasavyo...unarudia tena....hii inasaidia kisaikolojia awe watayar na exited everytime anajua soon ntatombwa...sio daily anajua aah nakazwa leo..