wakumlaumu ni nyinyi waTanganyika coz sisi waZanzibar tumejitahid sn ila dola ya ccm inatumaliza laiti na nyinyi waDanganyika mngesimama kidete km sisi waZanzibar basi tungefika ila tatizo nyinyi.
Wazanzibar co wajinga wamechukua pesa kwakujua fika hakuna atakaepiga kura ya ndio kwa rasimu hii.
mm nimzanzibar na tunajiujua na kujuana vizuri na wakilazimisha kupita ujue Tanzania ndo mwanzo wa vita.
Hatujaridhishwa hata kidogo na punde tu watapata salam zetu.
mimi kama mzanzibar nipo radhi Zanzibar ipatikane hata kwa mtutu ila watakao baki wajitawale.
I hate the United Republic of Tanzania.
I hate politics.
I love Zanzibar no matter what
Elewa wewe ata kama sio ukawa kama hajaridhia akubali tu? hakuna aloshiba hata 1 watanzania wote tunanuka njaa km tumeshiba tusingekua tunaomba misaada.
Zanzibar kwanza
hamjijui tanganyika inaendeshwa na mapato ya muungano ndo maana mnaung'ang'ania. nyie maskini sana ndo maana kazi zenu kuuza kashata, jojo maji n.k. ntaftieni mzanzibar ambae anatembeza vitu hivyo njiani mtamuona.
Zanzibar maji safi hamna hata typhoid na uti huku ndo magonjwa yenu mnanuka njaa...
tatizo waTanganyika hamjielewi sisi wazanzibar tushakataa muungano zamani tangu ezni za karume mwenyewe na ndo sababu ya kuuwawa, Akaja Aboud jumbe na kuendelea mpk mwisho kina sheikh faridi
zigo ni tanganyika coz sisi tuna mambo yetu ambayo haihusiani na muungano je nyinyi mnayo?
matumizi yenu yote mnatumia pesa za muungano loh ndo maana mnang'ang'ania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.