Mh Kessy analipuka Bungeni

Mh Kessy analipuka Bungeni

Mwenye majibu tafadhali namuomba anijibu suali langu hili, Iko wapi Tanganyika?
 
Vilaza wengine matatizo kweli, yani ushaambiwa Zanzibar inalelewa kama mke alafu alafu unauliza Tanganyika iko wapi? Ngonjeeni mpupumuliwe kisogoni ndio mtajua Tanganyika ipo wapi.

Wakupumuliwa kisogoni ni wadanganyika kwani licha ya kuwa Kessy kasema ukweli lakini vile vile usipinge ukweli kuwa wazanzibari wengi hawautaki muungano na hilo hawalifichi, sisi ndugu zangu nyie munaoshangilia ukweli wa Kessy mbona hatuoni juhudi kama za wazanzibari za kutetea Tanganyika yenu au munaona mukiikosa Zanzibar mtakosa mabwana wa kuwafundisha ustaarabu. Pazeni sauti mudai Tanganyika yenu kama wanavyodai wazanzibari Zanzibar yao kwa kipindi cha zaidi miaka 40.
 
Mbona yule aliyekuwa akipiga kelele kama mwehu bila kibali cha kiti hakuambiwa aombe msamaha,naye mbona alitumia maneno ya kibaguzi kwa kumuta Kessy mwarabu na hapa sio kwao.Kessy amesema jambo la ukweli,hawa ni akina vyako vyangu na vyangu si vyako.Haya mambo ndio ya Scotland ,pia huko Barcelona na sababu za kutaka kujitenga zinafanana na za hapa hapa watu kuwa na identity yao na pia kuona upande mmoja unawanufaisha wengine ili hali wao hawanufaiki chochote,na kama hapa kwetu hata huko Hispania na Uingerza watawala wanatumia kila mbinu ili Scotland na Catalunya wasijitenge,huko Uingereza serikali inatumia makampuni makubwa kutishia kuwa yatajitoa huko Scotland iwapo watapiga kura ya ndio ambayo ni kujitoa.Dunia imebadilika na si lazima wote tukubaliane ndio ,hiyo sio demokrasia na sio kusema walewanaosema hapana hawana akili au hawana uzalendo,tujadili hoja na alichokisema Kessy kina mshiko.
Na mwisho tujadili hali ya soko la mahindi ambalo nikilio na hasara kwa wananchi,leo hiihatujui cha kufanya na mahindi ,mahindi yapo nje serikali imeshindwa kununua,hiyohela ya Bunge la katiba afadhali tungenunulia mahindi kwa ajili ya siku zijazo,pia sidhani kama kweli serikali ilijiandaavya kutosha na hali hii ya soko la mahindi ,leo tunazembea wakati Mungu katujalia,lakini muda si mrefu utasikia kuna njaa,hatuna mipango madhubuti,je kwanini serikali isiruhusu tu watu wauze mahindi nje ya nchi?Nakumbuka miaka ya nyuma wakati Mzee Watrioba alipokuwa waziri mkuu alitilia sana umuhimu wa kujenga maghala ya vyakula,naaminitungekuwa na maghala ya kutosha yale mahindi yanayopigwa jua nje yangekuwa yamehifadhiwa sehemu inayostahili,lakini tatizo kipaumbele chetu kipo kwenye Mabugando na mambo mengine yasiyo na tija.Ni wakati sasa umefika pale tunaposema kilimo kwanza basi iwe pia na maghala kwanza.Warioba alijitahidi kuelekeza nguvu zake kuwashauri viongozi kusimamia ujenzi wa maghala huko vijinini,bahati mbaya alipoondoka ndio ukawa mwisho wa hiyo kampeni,tutamkubuka Warioba kwa hilo pia pamoja na ile reli ya Manyoni hadi Singida wakatihuo kukiwa na shida ya usafiri kati ya Manyoni na Singida.

tatizo waTanganyika hamjielewi sisi wazanzibar tushakataa muungano zamani tangu ezni za karume mwenyewe na ndo sababu ya kuuwawa, Akaja Aboud jumbe na kuendelea mpk mwisho kina sheikh faridi
 
Jamaa ameongea facts kwakweli...hao waliokuwa wanamjibu ndo walikuwa wanapasha....kila time wanaomba miongozo wakati kila kitu kiko wazi...hadi inakera yani

hamjijui tanganyika inaendeshwa na mapato ya muungano ndo maana mnaung'ang'ania. nyie maskini sana ndo maana kazi zenu kuuza kashata, jojo maji n.k. ntaftieni mzanzibar ambae anatembeza vitu hivyo njiani mtamuona.
Zanzibar maji safi hamna hata typhoid na uti huku ndo magonjwa yenu mnanuka njaa.
njoni Zanzibar no malaria, no typhoid, no njaa.
umeme mpk vijijini.
tunalipa gharama ndogo ya umeme kuliko nyinyi.
serikali yenu matapeli sn.
 
kessy yuko right kabxa,,.. hawa rangi ya njano wanajifanya kama hawaoni kumbe wanaona, ccm wanacho kifanya ni kutetea masilah ya watu wachache
 
hamjijui tanganyika inaendeshwa na mapato ya muungano ndo maana mnaung'ang'ania. nyie maskini sana ndo maana kazi zenu kuuza kashata, jojo maji n.k. ntaftieni mzanzibar ambae anatembeza vitu hivyo njiani mtamuona.
Zanzibar maji safi hamna hata typhoid na uti huku ndo magonjwa yenu mnanuka njaa.
njoni Zanzibar no malaria, no typhoid, no njaa.
umeme mpk vijijini.
tunalipa gharama ndogo ya umeme kuliko nyinyi.
serikali yenu matapeli sn.

he! kumbe zanzibar matajiri lakini bado wake zenu wanalelewa na watanganyika...loh!
 
Yaani CCM na viongozi wake wanavyoing'ang'ania Zanzibar na muungano(tena hata gharama ya damu za watu,rejea kauli ya Wassira kwa mh Kessy) ,kana kwamba Tanganyika haiwezi kusurvive ikiwa peke yake.Hii aibu kubwa,kwani Watanganyika tunaonekana wapumbavu tena makubwa jinga mbele ya macho ya ulimwengu.
 
hamjijui tanganyika inaendeshwa na mapato ya muungano ndo maana mnaung'ang'ania. nyie maskini sana ndo maana kazi zenu kuuza kashata, jojo maji n.k. ntaftieni mzanzibar ambae anatembeza vitu hivyo njiani mtamuona.
Zanzibar maji safi hamna hata typhoid na uti huku ndo magonjwa yenu mnanuka njaa.
njoni Zanzibar no malaria, no typhoid, no njaa.
umeme mpk vijijini.
tunalipa gharama ndogo ya umeme kuliko nyinyi.
serikali yenu matapeli sn.

Kama tutaendelea kuwalisha na kuwavisha WAKE ZENU, lazima tuwa f...re, there is no free lunch in this world. Endeeleni kushangilia jasho la wanaume wenzenu!
 
Back
Top Bottom