Recent content by khumbu_peresa

  1. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Tetesi: ATCL yashindwa kutua Comoro na kurudi Dar es Salaam kufuatia hali mbaya ya hewa

    Habari wana Jamvi, Mimi ni mfuatiliaji mzuri wa sekta au tasnia ya usafiri wa anga kwa ndani ya nchi na kimataifa. Siku ya jana tarehe 21/04/2022 shirika la ndege la Tanzania lilikua na ndege yake Airbus namba TC 210 ambayo inatoka DAR-HAH (DAR-COMORO) ambayo iliruka saa 4 asubuhi kuelekea...
  2. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Ndege mpya ya Q 400 bombardier ya ATCL yaanza kazi rasmi

    Habarini wanabodi na watanzania kwa ujumla. Takribani wiki mbili na nusu shirika la ndege la Tanzania limekua na mfululizo wa delays za ruti zake mbalimbali. Kwa wenye ushuhuda hapa jamvini wataweza kushea nasi hali ya safari zao walivyotumia shirika hili ndani ya wiki mbili zilizopita mpaka...
  3. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Haooooo wameachwa kwenye mataaaa
  4. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Haoooooooooooooooooo wapenda vya bureeeee
  5. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Tusidanganyane, mimi napenda pesa sana

    Kaolewe na bank
  6. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Mambo vipi... Naona wote maskini ,mtoa mada na wachangia mada. Ndo mana nilimpiga chini konda msafi sababu ni fukara wa kutupwa, mpenda mteremko na ana mawazo ya kimaskini. Sasa story hata haijafika kati kashaanza omba omba hela za bando. Ooh mara itatokea jina la kampuni. Kama bando si...
  7. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Serikali imarisheni hili kwenye checkpoints na entry za nchi yetu

    Unjani. Naandika kama mdau wa sekta ya usafirishaji watu na mizigo ,na napenda kutoa mawazo chanya kwenye kuisaidia serikali kwenye kipindi hiki cha janga la corona. Siungani na wananchi ambao wao kazi yao ni kuilaumu serikali kwenye janga hili la corona.,mara serikali itangaze kuna...
  8. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Kawaacha kwenye mataaaaa halooooo haloooo
  9. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Muwe na usiku mwema enyi taifa la wenye viherehere.
  10. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Mgagaa na Upwa niambie.....naona mmekusanywa kama nyumbu mnapigwa fiksi..story ilishaisha zamani. Iliishia pale alivyoniona nimeshikwa kiuno kule mall.
  11. khumbu_peresa

    JamiiForums Tanzania Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Nambie.....naona jamaa anawapiga fiksi tu ....
Back
Top Bottom