Recent content by khhupi

  1. K

    Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

    sisi hatujui kuishi kwa akili zetu je nyie mnajua kuishi kwa akilizenu tena nyie ndio mafala maana mgekuwa mnaishi kwa akili msingekamatwa na wake zenu, eti sisi hatujui kuishi kwa akili shenzi kweli wewe mama yako sio mwana mke kwa taarifa ukitukana hata mtoto wa kike ni sawa na umtukana mama yako
  2. K

    Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

    kama unampenda wifu piga chini mchepuko na kama unampenda mchepuko mpigechini wifu maana naona unampa sifa mchepuko
  3. K

    Vijana msioe kama bado hamjajipanga, unakuta mtu anampakiza mama mkwe kwenye gari kama passo, ist, vitz n.k

    kabisa nia sio kumsaidia na usikute hana hata gari vijana ukijisikia kuoa wewe oa la msingi unaweza kutimiza yale mahitaji muhimu ya msingi ya wewe kama baba kuhakikisha familia yako inakula, wanauwezo wa kuvaa hata kama ni mitumba unauwezo wa kumpeleka wanao shule za serikali, unauwezo wa...
  4. K

    Je, ni sawa mke kumkumbuka marehemu 'Ex' wake kwa kumpost mtandaoni?

    kwangu mimi si sawa kumposti X wake hata kama alikuwa anampenda vipi alipaswa ajizuie kumposti X wakati umeolewa kwakweli inauma maana hata kama yeye angefanyiwa hivyo angeumia na kujisikia vibaya, kwa hiyo mume wake yuko sahihi kabisa kununa na kumjibu hivyo maana nidhahiri kabisa huyo dada...
  5. K

    Nimepanga kumpa mpenzi wangu nusu ya mshahara

    sahihi kabisa ebu mpe shule huyo maana naona hajitambu eti ananivumilia angekuwa ni mke angefanyaje si angempa msahara wote, tena watu kama hao mama yake mzazi akiomba hata shilingi elfu ishirini hampi.
  6. K

    Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

    sahihi kabisa unachosema, mtoto wa mjomba wangu alioa bikra lakn leo hii analia balaa bikra sio kwamba ukioa bikra ndio uko salama yaani nakwambia ndio umemfungulia mlango kila anayesema hodi yeye anasema karibu
  7. K

    Ni udhaifu kutembea na msichana wa kazi

    wengine hata hawajasogezewa kiasi hicho lakin mwanaume akishamwona ameanza kupenzeza na yeye anaaza kutongoza mama ukitoka tu kidogo yeye anaanza hadi mwingine anakuambia mbona leo uko bize na majukumu ya home kwani vipi hue ndi kazini ukimwambia tu huendi anabadilika ghafla au mda mwingine...
  8. K

    Ni udhaifu kutembea na msichana wa kazi

    ujumbe mzuri sana
  9. K

    Kwanini mkiwa wajawazito mnakuwa hivi?

    pole mkuu ila hapo anapotamani chakula fulani au kinywaji fulani hiyo ni hali ya kawaida kwa kinamama wajawazito ili kwa hivyo vingine naweza sema anaigiza au asiingize hiyo pia inachangiwa na wewe mwanaume wenda unamdekeza sana, ila naomba akihitaji kitu cha kula kama unauwezo umpatie lakn kama...
  10. K

    Ukweli kuhusu mapenzi

    16. Usimwamini mwanaume hata kwa uchache maana hujui ni lini atakugeuka hawa watu ni manyoka
  11. K

    Nawalaumu wanaume wanaotelekeza watoto, japokuwa wadada mmezidi kutubambikia watoto

    halafu we jamaa acha ujinga eti unampenda ka mpende mke, kamjengee mkeo na watoto nyumba nzuri watakushuru na utapata baraka wewe unawaza kumjengea nyumba mwanamke aliyekuwa anakuweka mizani na mwisho wasiku anakuingiza line na we unaingia nasema acha ujinga wanawake wazuri hawaishi kila kukicha...
  12. K

    Ila kuna vitu vinakera sana

    ukiona hivyo hupendwi endelea tu nasafari kuna mtu anapendwa na anajibiwa vizuri tu kwa hiyo uciumie chukuliwa kawaida wala ucimtukane ipo siku atajifunza na atatamani kurudi
  13. K

    Ila kuna vitu vinakera sana

    pinga chini sio ufumbuzi wa tatizo utapiga chini wangapi? aulize kwanza mwenzio anashida gani kwani huwa anakuwa hivyo? kama hiyo ndio tabia yake basi ampige chini maana ukiona hivyo hupendwi
Back
Top Bottom