Ila kuna vitu vinakera sana

Ila kuna vitu vinakera sana

MMMH KWELI WATU WANAUMIZWA,KUNA HAJA SERIKALI KUANZISHA KITENGO CHA WALE WANAOTESWA KIMAPENZI
HILI NI JANGA KUBWA MNOOOO
kwakweli serikali iingilie Kati ... Watu wanaachwa tu na serikali ipo tu

Now days hauwezi kuperuzi mitaandaoni bila kukuta malalamiko ya walioachwa
 
Mkuu mtu akinijibu kwa herufi P au unamwambia nakupenda anakujibu asante wakat ni mpenzi wako huna naona kma ni dharau kwangu
ukiona hivyo hupendwi endelea tu nasafari kuna mtu anapendwa na anajibiwa vizuri tu kwa hiyo uciumie chukuliwa kawaida wala ucimtukane ipo siku atajifunza na atatamani kurudi
 
tulivyokuwa wema mlitupa ubaya sasa mwaka huu tunakuwa kama mlivyotaka

Hapo nd nmekuelewa
 
Habarini wana jamvi wa MMU, natumai mu wazima humu.

Daaaah, kiukweli kuna vitu vinakeraa sanah Ila ndo hvyo tu . haiwezekan unaamka unamtext MTU mamb umeamkaje anakujibu "P" tena ya herufi kubwa , unamwambia nakupenda yeye anajibu "sawa" tenah ya herufi ndogo .

Imenikera sana , sawa dawa take inachemka ntamkomesha , bora aseme kam nimemkera tu nijue.

Nb: tulivyokuwa wema mlitupa ubaya sasa mwaka huu tunakuwa kama mlivyotaka
Ukiona hivyo jua ameshakuchoka au kapata njemba nyingine inamkuna kisawa sawa
Hawa mademu akikupenda atakuganda mpaka utashangaa ila siku akikuchoka ndo utajua kwa nini wimbo wa taifa haunaga video
 
Back
Top Bottom