Recent content by kheseed

  1. kheseed

    JamiiForums Tanzania Utumishi wa mahakama vipi?

    Nahisi basic 950
  2. kheseed

    JamiiForums Tanzania Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  3. kheseed

    JamiiForums Tanzania Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

    Sema hapo kwenye seminar ndo wanapo wapiga bao ila kwa mshahara hapana
  4. kheseed

    JamiiForums Tanzania Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

    Ukumbuke increment inapanda kila July kwa watumishi wote serikalin mkuu haiwezi ikapanda kwa watu wa afya tu walimu isipande
  5. kheseed

    JamiiForums Tanzania Clinical Officers wanalipwa kiasi gani?

    Sas kama basic laki 630 anampitaje mwalimu mwenye degree basic laki 710. Think Big msizarau kazi za watu
  6. kheseed

    JamiiForums Tanzania Namna ya kumpa mimba mwanamke alieshindwa kuzaa

    Mtoa mada umenichekesha vya kutosha leo
  7. kheseed

    JamiiForums Tanzania Kazi yenye kigezo cha Diploma mwenye degree au masters anaweza kuomba?

    Kuna limitation mkuu kazi kama hiyo hapo unakuwa ume over qualify tasis kama ipo serious haikuchukui inakupiga chini hata interview hufanyi
  8. kheseed

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Ukiamin kuwa kuna hongo na kujuana utakuwa hufanyi vizur kwenye interview. Ukifanya ukikosa jipange vizur next time unaweza pata usiamin vitu vya kusadikika
  9. kheseed

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Ni kweli kaka hata mim nilishawahi fanya minimum ikawa 70 inategemea na kada unayofanya na ufaulu wa watu ktk hiyo kada nafikili
  10. kheseed

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya ajira na Utumishi wa Umma yaingia doa

    Sizani kama kuna upendeleo binafsi nimefanya interview nyingi tu pale na kama kungekuwa na upendeleo basi nafasi ikikosa mtu wasingekuwa wana itangaza kwa mara nyingine
  11. kheseed

    JamiiForums Tanzania Anachokifanya Katibu wa Bunge ni haki kwa Watanzania?

    Kuna mambo hayajakaa sawa kabisa kuna watu wanaona kama hii nchi yao peke yao
  12. kheseed

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Maswali nafasi ya Afisa Mtendaji

    Jaribu kusoma vitu ambavyo ni current sana kama vile brn, na mambo ya almashauri coz hizo kaz unakuwa chini ya almashauri
Back
Top Bottom