Recent content by khamis kilo

  1. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    ipo vizuri sanaaaa
  2. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kimekuwa mtihani kwangu, kila nikiitwa kwenye usahili nashindwa kujieleza

    😂 akareport lumumba au sio
  3. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa dhahabu hii? Nashindwa kuelewa

    inaweza ikawa chuma 😟 lakin hainasii kwenye sumaku
  4. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa dhahabu hii? Nashindwa kuelewa

    naweza kurekodi video
  5. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa dhahabu hii? Nashindwa kuelewa

    Plot zipo ndugu tunalima matikiti
  6. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa dhahabu hii? Nashindwa kuelewa

    nimefanya hivyo ndugu haijaungua wala kuwa nyeusi, ndio nikaamua kukwangua
  7. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa dhahabu hii? Nashindwa kuelewa

    asanteee mkuu 🙏 i
  8. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa dhahabu hii? Nashindwa kuelewa

    Ni bracelet nimeamua kuikata na kuanza kuikwangua , mwenye uelewa wa kutambua dhahabu anaweza kushare tips hapa ili nijue kama ni yenyewe or ni brass 🙏
  9. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Inawezekana kuwa dhahabu hii? Nashindwa kuelewa

  10. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Bwana Misosi akiwa bado underground aliwezaje kuwapata wasanii wakubwa walioonekana katika video yake "Nitoke vipi?"

    msije sema, 'oh, oh, mkaleta lawama, nasema msije sema, 'oh, oh, mkaleta lawama, mlio kwenye chart, Bwana Misosi naomba site (Site), hata mkibana (Bana), ntawavuta tu mashati (Shati), nguvu sina (Sina), nitawadondosha tu kwa mic (Mic), nguvu sina (Sina), nitawadondosha tu kwa mic 🔊🔊
  11. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    We jamaa kweli kiazi 🫵🏽 achana nae fanya maisha yako
  12. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    Achana nae sio lazima awe rafiki ako
  13. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Kumtongoza mke wa mtu na mumewe akajua ni kosa kisheria?

    🫵🏽 Kazi unayo kumbe ndio wewe unatongoza hovyo wake za watu huku mtaani
  14. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Daaah! "mtupu akiwa amejisaidia...?" hii kauli inafikilisha sana, kwa haraka haraka lazima akili yako iwaze vitu vya hovyo 🙌, but anyway apumzike kwa amani tu.
Back
Top Bottom