Recent content by khamis kilo

  1. khamis kilo

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Daaah! "mtupu akiwa amejisaidia...?" hii kauli inafikilisha sana, kwa haraka haraka lazima akili yako iwaze vitu vya hovyo 🙌, but anyway apumzike kwa amani tu.
  2. khamis kilo

    Mifuko ya plastiki (Rambo) inarudi Kwa Kasi sana; hii Ina maana Gani?

    mifuko ya rambo meusi bado sijaiona huku mtaani, labda utume picha ila ile meusi ya kitambo kile huku mtaani hakuna
  3. khamis kilo

    Mind control

    nitarudi
  4. khamis kilo

    JamiiForums Usiku wa manane

    01:31
  5. khamis kilo

    Wabongo wengi hawana mikazo, wameshaanza kuwashobokea tena wasanii licha ya kudhihakiwa

    Kitu muhimu ni kuishi maisha yako tu, achana nao hao wewe endelea na harakati zako
  6. khamis kilo

    Mbwana Ally Sammata, nimekudharau na sito kuheshimu, una roho mbaya na ni mnafiki we jamaaa, sijapata kuona

    Nonsense 🙌 suala la kutoa pole au kukaa kimyaa ni jambo lake binafsi, samatta ni binadamu kama wewe tu so live your life mzee
  7. khamis kilo

    Naombeni ushauri! Nilimsamehe, lakini sasa hanijibu simu wala SMS, nifanyeje?

    cha kwanza unatakiwa uelewe huyo sio Ex wake ni jamaa tu mtaa wa pili hapo nyuma anamt*mba, cha pili amekuona wewe ni bwege sababu amekuomba msamaha umemsamehe alafu umeondoka kwake kimya kimyaa, mwanamke akikufanyia na kukuomba msamaha kinachofatia ni kumt*mba kisawa sawa alafu baada ya hapo...
  8. khamis kilo

    Kwa mara ya kwanza Sayansi inaweza kumgundu mtu mchawi

    Ebu ngoja nikae siti ya dirishani
  9. khamis kilo

    Kuna watu wanamaisha magumu sana

    Kuishi dar es salaam sio kigezo cha kuwa na maisha mazuri
Back
Top Bottom