Recent content by khamis kilo

  1. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Bwana Misosi akiwa bado underground aliwezaje kuwapata wasanii wakubwa walioonekana katika video yake "Nitoke vipi?"

    msije sema, 'oh, oh, mkaleta lawama, nasema msije sema, 'oh, oh, mkaleta lawama, mlio kwenye chart, Bwana Misosi naomba site (Site), hata mkibana (Bana), ntawavuta tu mashati (Shati), nguvu sina (Sina), nitawadondosha tu kwa mic (Mic), nguvu sina (Sina), nitawadondosha tu kwa mic 🔊🔊
  2. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    We jamaa kweli kiazi 🫵🏽 achana nae fanya maisha yako
  3. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    Achana nae sio lazima awe rafiki ako
  4. khamis kilo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumtongoza mke wa mtu na mumewe akajua ni kosa kisheria?

    🫵🏽 Kazi unayo kumbe ndio wewe unatongoza hovyo wake za watu huku mtaani
  5. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Daaah! "mtupu akiwa amejisaidia...?" hii kauli inafikilisha sana, kwa haraka haraka lazima akili yako iwaze vitu vya hovyo 🙌, but anyway apumzike kwa amani tu.
  6. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Mifuko ya plastiki (Rambo) inarudi Kwa Kasi sana; hii Ina maana Gani?

    mifuko ya rambo meusi bado sijaiona huku mtaani, labda utume picha ila ile meusi ya kitambo kile huku mtaani hakuna
  7. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Mind control

    nitarudi
  8. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    01:31
  9. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Wabongo wengi hawana mikazo, wameshaanza kuwashobokea tena wasanii licha ya kudhihakiwa

    Kitu muhimu ni kuishi maisha yako tu, achana nao hao wewe endelea na harakati zako
  10. khamis kilo

    JamiiForums Tanzania Mbwana Ally Sammata, nimekudharau na sito kuheshimu, una roho mbaya na ni mnafiki we jamaaa, sijapata kuona

    Nonsense 🙌 suala la kutoa pole au kukaa kimyaa ni jambo lake binafsi, samatta ni binadamu kama wewe tu so live your life mzee
  11. khamis kilo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri! Nilimsamehe, lakini sasa hanijibu simu wala SMS, nifanyeje?

    cha kwanza unatakiwa uelewe huyo sio Ex wake ni jamaa tu mtaa wa pili hapo nyuma anamt*mba, cha pili amekuona wewe ni bwege sababu amekuomba msamaha umemsamehe alafu umeondoka kwake kimya kimyaa, mwanamke akikufanyia na kukuomba msamaha kinachofatia ni kumt*mba kisawa sawa alafu baada ya hapo...
  12. khamis kilo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kisa kilichonifanya nikae mbali Sana na wake za watu

    Noma sanaaa
Back
Top Bottom