Recent content by Khaibar

  1. K

    Iran yafanya shambulio Kubwa katika eneo la viwanda vya chuma na Chemicals huko Israel

    Fala huyo analeta ushabiki kwenye ukweli.
  2. K

    Iran yafanya shambulio Kubwa katika eneo la viwanda vya chuma na Chemicals huko Israel

    Kwa ujinga wako kichwani habari zinazoletwa humu za Iran nyingi zinaanza kutangazwa TIMES OF ISRAEL. Sasa kama uongo basi waambie TIMES OF ISRAEL.
  3. K

    Hezbollah Waingia ndani ya Galilee Israel na kuteka maeneo

    Ni za ukweli wala sio uongo. Hata vyombo vyao Israel wenyewe walishatangaza. Video zilisambaa Mayor wa Shmona na Galilaya juzi wakibishana na serikali kuu kuwa wameshindwaje kulinda raia kiasi kaya elfu kumi zinaangamia kwa mashambulizi ya Hizbollah!?? Inamaana Kiryat Shmona na Galilaya zilianza...
  4. K

    Hezbollah Waingia ndani ya Galilee Israel na kuteka maeneo

    We jamaa punguzaga mahaba ya kifala. Yanakufanya uwe INLOGIC. Siku tatu nyuma Mayor wa Galilee na Kiryat Shmona walitangaza kuwa kaya zaidi ya ELFU KUMI zimeteketezwa. Na jana TIMES OF ISRAEL imetangaza Hizbollah HIVI SASA WAPO NDANI YA METULLA NA KIRYAT SHIMONA WAKIPIGANA NA IDF. Punguza mahaba...
  5. K

    Tetesi Msaliti wa ndani na mhafidhina anayeungwa mkono na Marekani ameshaidhinishwa anasubiri kukabidhiwa madaraka kuongoza serikali

    Nchi ipo kwenye Decentralized Mosaic doctraine unasemaje kuna mtu wa kukabidhiwa nchi?? Jeshi ndio inaamua mustakabali wa nchi kwasasa. WACHA KUTUANDIKIA UTUMBO USIOELEWEKA.
  6. K

    Hezbollah Waingia ndani ya Galilee Israel na kuteka maeneo

    AI hiyo ni kama kinogesho cha habari. Ila vyombo vya habari hadi vikubwa vimetangaza Metula na Kiryat Shimona zimevamiwa na Hizbollah. Ikiwemo Times of Israel wameripoti hilo.
  7. K

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kaka nakusisitiza USITHUBUTU kubishana naye huyo jamaa,mu ignore chap kwa haraka,ni kiazi haijawahi onekana bora hata Echolima. Huyo alidai Qur'an imetengenezwa 1970s na akaleta Qiraat akidai ndio aina za Qur'an. Achana naye utajishusha hadhi kujadiliana naye.
  8. K

    Israel inakaribia kuanguka

    Na limeshaanza kutokea,hivi tunavyoongea Hizbollah wapo ndani ya ISRAEL KASKAZINI,washavamia miji ya Kiryat Shmona na Metula. Hayo maeneo raia wameondolewa kiusalama.
  9. K

    Israel inakaribia kuanguka

    Utopolo wako wa kuhusisha dini mimi humo simo. -Mkuu wa majeshi anadai jeshi la Israel linaelekea kuporomoka. -Mayor wa Kiryat Shmona anadai kaya 10000 zimeharibiwa. -Mayor wa Galilee anadai kuna ukimbizi wa ndani huko Galilee na kaya nyingi zimeharibiwa. -Times of Israel wanadai kuwa Hizbollah...
  10. K

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Tunachoomba sisi vita zao zisiathiri maisha yetu ya huku Afrika. Hayo mengine watajuana wao.Maana Hormuz imefungwa na wakifunga Baab Al mandib sio tu mafuta bali hadi bidhaa zingine zitapanda bei.
  11. K

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Times of Israel; Hizbollah are fighting inside Northern Israeli borders,clashes are reported inside Kiryat Shmona,Galilee and Metula. Ndio maana Mayor wa Kiryat Shmona na Galilee waliifokea serikali kuwa wameshindwa kulinda raia wa hayo maeneo.
  12. K

    Israel inakaribia kuanguka

    Hilo neno mwambie kiongozi wa Israel aliyesema jeshi linaelekea kuanguka. Waswahili bana mna ubishi wa kifala.
  13. K

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Yeye haleti clarified news anaokoteza picha chap anazileta. Kaleta picha hadi za Canada siku moja!😂😂😂
  14. K

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna utofauti wa ideology baina ya Yemen na Lebanon. Lebanon katika serikali kuna viongozi kwenye ideology ya separatism mfano waziri mkuu. Hivyo vilio lazima. Ila Yemen raia tunawaona wakiandamana kwa solidarity ya Iran na Palestine. Hao watu wanawezaje kulia mkuu!??
  15. K

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Huyo jamaa muongo muongo,ameshaleta habari humu za picha za Canada akisema ni Iran.
Back
Top Bottom