Ni za ukweli wala sio uongo.
Hata vyombo vyao Israel wenyewe walishatangaza.
Video zilisambaa Mayor wa Shmona na Galilaya juzi wakibishana na serikali kuu kuwa wameshindwaje kulinda raia kiasi kaya elfu kumi zinaangamia kwa mashambulizi ya Hizbollah!??
Inamaana Kiryat Shmona na Galilaya zilianza...
We jamaa punguzaga mahaba ya kifala. Yanakufanya uwe INLOGIC.
Siku tatu nyuma Mayor wa Galilee na Kiryat Shmona walitangaza kuwa kaya zaidi ya ELFU KUMI zimeteketezwa. Na jana TIMES OF ISRAEL imetangaza Hizbollah HIVI SASA WAPO NDANI YA METULLA NA KIRYAT SHIMONA WAKIPIGANA NA IDF.
Punguza mahaba...
Nchi ipo kwenye Decentralized Mosaic doctraine unasemaje kuna mtu wa kukabidhiwa nchi??
Jeshi ndio inaamua mustakabali wa nchi kwasasa. WACHA KUTUANDIKIA UTUMBO USIOELEWEKA.
AI hiyo ni kama kinogesho cha habari. Ila vyombo vya habari hadi vikubwa vimetangaza Metula na Kiryat Shimona zimevamiwa na Hizbollah. Ikiwemo Times of Israel wameripoti hilo.
Kaka nakusisitiza USITHUBUTU kubishana naye huyo jamaa,mu ignore chap kwa haraka,ni kiazi haijawahi onekana bora hata Echolima. Huyo alidai Qur'an imetengenezwa 1970s na akaleta Qiraat akidai ndio aina za Qur'an.
Achana naye utajishusha hadhi kujadiliana naye.
Na limeshaanza kutokea,hivi tunavyoongea Hizbollah wapo ndani ya ISRAEL KASKAZINI,washavamia miji ya Kiryat Shmona na Metula. Hayo maeneo raia wameondolewa kiusalama.
Utopolo wako wa kuhusisha dini mimi humo simo.
-Mkuu wa majeshi anadai jeshi la Israel linaelekea kuporomoka.
-Mayor wa Kiryat Shmona anadai kaya 10000 zimeharibiwa.
-Mayor wa Galilee anadai kuna ukimbizi wa ndani huko Galilee na kaya nyingi zimeharibiwa.
-Times of Israel wanadai kuwa Hizbollah...
Tunachoomba sisi vita zao zisiathiri maisha yetu ya huku Afrika. Hayo mengine watajuana wao.Maana Hormuz imefungwa na wakifunga Baab Al mandib sio tu mafuta bali hadi bidhaa zingine zitapanda bei.
Times of Israel;
Hizbollah are fighting inside Northern Israeli borders,clashes are reported inside Kiryat Shmona,Galilee and Metula.
Ndio maana Mayor wa Kiryat Shmona na Galilee waliifokea serikali kuwa wameshindwa kulinda raia wa hayo maeneo.
Kuna utofauti wa ideology baina ya Yemen na Lebanon. Lebanon katika serikali kuna viongozi kwenye ideology ya separatism mfano waziri mkuu. Hivyo vilio lazima.
Ila Yemen raia tunawaona wakiandamana kwa solidarity ya Iran na Palestine. Hao watu wanawezaje kulia mkuu!??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.