Recent content by Khaibar

  1. K

    JamiiForums Tanzania Iran inaiogopa sana Israel.

    Houthi kutokuishambulia US na Israel ni kuheshimu makubaliano ya 2025 ambayo waliingia baada ya kukubali kufungua baab al mandeb. Na unajua inaleta madhara gani kwa hilo!? USA na Israel wamekataa kumsaidia Saudi Arabia kupigana dhidi ya Houthi. Mwishowe Houthi amekamata miji yote muhimu na...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Iran inaiogopa sana Israel.

    Huwa bandiko zako za uongo sana kijana punguza uongo. April 7 ambapo ceasefire ilipokua inajadiliwa Islamabad Israel ilishajitoa vitani mapema sana. Na sababu ya kujiondoa vitani ni kwasababu air defence batteries zilikua zimewaishia na hawakua na ulinzi wa anga tena. Ndio maana hata baada ya...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Na mbaya zaidi Houthi ameruhusu meli zote kupita hadi za Marekani na Israel kasoro za Saudi Arabia. Hapo patamu na pagumu.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Swadakta kabisa.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Samahanini nilimkusudia ANWAR SADDAT rais wa Misri baada ya Gamal Abdel Nasser kujiuzuru. Nimechanganya majina.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Aya sawa.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Maadui wa ndani wanaweza hata wasiwe raia bali baadhi ya viongozi wa jeshi wenye tamaa ya madaraka. Washika silaha 90% waliopigana dhidi ya Gaddafi walikua ni millitary servicemen. Na ndio maana nikatolea mfano wa Misri. Mtu mmoja kwenye system akiwa na ulafi ana uwezo kutumika kuangusha system...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Abdul Fattah Elsisi aliwezaje kumpindua Mohammed Morsi kwa usaidizi wa Marekani!???
  9. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    JWTZ haikupigwa na m23 PERIOD.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Bro unaropoka tu. Gaddafi hakumkandamiza yeyote. Basi tuachane na hilo, Yasser Arafat alikua kiongozi bora Misri,kwanini walimuua!?? Mbona kama wewe ni mgeni kwa waarabu!??
  11. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Hakuna silaha nzito JWTZ aliyoenda nayo. Silaha nzito utasema ile sabasaba gun!?? Maana ile ndio silaha nzito pekee ambayo walikua nayo. Na JWTZ hawakupewa uhuru wa mashambulizi. Unadhani JWTZ wange deploy A-100 mlrs za kutosha hiyo m23 ingepona!?
  12. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Ungekua unafuatilia documentaries za sasa kuhusu Libya aisee asilimia kubwa ya raia wanajuta kuuawa kwa Gaddafi. Hakuna cha nguvu ya umma bali ni baadhi ya watu wenye uchu wa madaraka ambao walimwagiwa silaha na wakaungwa mkono na NATO. Na ndio hao hao walimuua mtoto wa Gaddafi mwaka huu...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    JWTZ haikuwenda na silaha nzito zozote ACHA KUONGOPA. Silaha walizikuta kule kule na walikua wakipokea maagizo kutoka jeshi la UN. Na walikua na limited fire power hawakupewa uwanda mpana wa kufanya mashambulizi kama 2013. Embu kafuatilie 2013 Mwakiborwa aliwafanya nini hao m23. 2013 JWTZ...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Hawakukalishwa bali hawakukua katika mission ya offensive. Rejea 2013 M23 walifanywa nini kudadeki.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    Kaka acha kujibu watu wenye UFALA wa akili. We unaona kabisa huyu mtu analeta ubishani haleti majadiliano. ACHANA NAYE KAKA USIJIPOTEZEE MUDA.
Back
Top Bottom