Punguzaga uongo haukunufaishi lolote. Bahati nzuri waandishi wa habari ikiwemo wakristo wenzenu wa hapa Tanzania walienda Iran na wakajionea kuwa Iran sio nchi ya udikteta na ina huduma bora za kijamii kuliko nchi za Ulaya mnazozishabikia.
Kama hii dunia Marekani na Ulaya wasingekua na nguvu...
Usiwe FALA. Hilo jengo linatumika na CIA ambao ni WaMarekani na nje ya hilo hata majeruhi na vifo ni raia wa Marekani. Utasemaje New York hawajui ilhali kuna ndugu zao humo!??
Nenda kamsome Araghchi. Iran imekataa mazungumzo kwasababu Lebanon na Gaza haikuzingatiwa kwenye ceasefire. Na ndio maana Trump anatishia kuvunja madaraja na miundombinu ya umeme yote kama Iran haitarudi mezani.
Iran ipi imeshindwa kupiga Israel??
Yale majengo na kaya 10000 zilizoharibiwa Galilaya,Beit shemesh ni za bwana wako!?
Bandari ya Haifa,Eilat,Haifa refinery plant zilizolipuliwa ni za bwana wako!??
Hivi unadhani Iran imekaa kizembe bob haijajiandaa!??
Embu chukulia mfano tu wa vita ya 1980 iliyoisha 1988 ni nani ambaye alidhania Iran ingestahimili vita miaka nane ikiwa dhaifu kiuchumi na kijeshi!??
Hii Iran mwaka huu itawashangaza sana idharauni hivyo hivyo.
Hata kiingereza hujui mbwa wewe.
Wacha tukutafsirie.
"Kama marekani itaendelea kuishambulia Iran basi Iran itaanzisha vita kamili. Rezae amesema kwamba kwasasa Iran imeweka mipaka kwenye kujibu mashambulizi ila hilo halitadumu muda mrefu".
Hapo kutoa milio ni wapi Iran ametoa milio!? Mkiambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.