Recent content by Khaibar

  1. K

    JamiiForums Tanzania Marekani kutumia trilioni 98.9 Tzs katika vita dhidi ya Irani hadi mwezi Septemba 26

    Ulisoma ripoti ya hasara za vita ya Libya kipindi cha Obama!?? Usikariri bro.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani anamuogopa Korea kaskazini kuliko Iran?

    Punguzaga uongo haukunufaishi lolote. Bahati nzuri waandishi wa habari ikiwemo wakristo wenzenu wa hapa Tanzania walienda Iran na wakajionea kuwa Iran sio nchi ya udikteta na ina huduma bora za kijamii kuliko nchi za Ulaya mnazozishabikia. Kama hii dunia Marekani na Ulaya wasingekua na nguvu...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wamarekani wataweza kuifanya hii operesheni??

    Msamehege tu huyo kijana ni huwa kama amelewa.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Ukraine amefanikiwa kukomboa mkoa hata mmoja uliotekwa!??
  5. K

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Acha kudanganya watu hauongei na watoto wenzako humu.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Jidanganye kijana
  7. K

    JamiiForums Tanzania Iran imepiga jengo la CIA Uarabuni, Marekani yailaumu Urusi kuwa imeisadia Iran Taarifa za kupiga

    Usiwe FALA. Hilo jengo linatumika na CIA ambao ni WaMarekani na nje ya hilo hata majeruhi na vifo ni raia wa Marekani. Utasemaje New York hawajui ilhali kuna ndugu zao humo!??
  8. K

    JamiiForums Tanzania Uturuki ilivyozuia mpango wa siri wa Mossad na CIA kupindua serikali ya Iran

    Hii ya Ahmedinajad kuhusika wanadai ni conspiracy mkuu
  9. K

    JamiiForums Tanzania Iran imeshinda Vita lakini Mojtaba Khamenei hatahudhuria mazishi ya Babaake. Inakupa ujumbe gani?

    Nenda kamsome Araghchi. Iran imekataa mazungumzo kwasababu Lebanon na Gaza haikuzingatiwa kwenye ceasefire. Na ndio maana Trump anatishia kuvunja madaraja na miundombinu ya umeme yote kama Iran haitarudi mezani.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

    Iran sio wepesi hivyo. Unadhani wao hawajajipanga?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

    Iran ipi imeshindwa kupiga Israel?? Yale majengo na kaya 10000 zilizoharibiwa Galilaya,Beit shemesh ni za bwana wako!? Bandari ya Haifa,Eilat,Haifa refinery plant zilizolipuliwa ni za bwana wako!??
  12. K

    JamiiForums Tanzania Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

    Msome vitu kabla hamja post tu kindezi ndezi.
  13. K

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Sanamu ya dhahabu ya Rais Trump kuwekwa Iran kwa heshima yake! . Ni baada ya Iran kuwa huru

    Haikuwa huru kwenye nini!?? Embu tueleze
  14. K

    JamiiForums Tanzania Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

    Hivi unadhani Iran imekaa kizembe bob haijajiandaa!?? Embu chukulia mfano tu wa vita ya 1980 iliyoisha 1988 ni nani ambaye alidhania Iran ingestahimili vita miaka nane ikiwa dhaifu kiuchumi na kijeshi!?? Hii Iran mwaka huu itawashangaza sana idharauni hivyo hivyo.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Iran intercontinental ballistic missile kupiga USA

    Hata kiingereza hujui mbwa wewe. Wacha tukutafsirie. "Kama marekani itaendelea kuishambulia Iran basi Iran itaanzisha vita kamili. Rezae amesema kwamba kwasasa Iran imeweka mipaka kwenye kujibu mashambulizi ila hilo halitadumu muda mrefu". Hapo kutoa milio ni wapi Iran ametoa milio!? Mkiambiwa...
Back
Top Bottom