Houthi kutokuishambulia US na Israel ni kuheshimu makubaliano ya 2025 ambayo waliingia baada ya kukubali kufungua baab al mandeb. Na unajua inaleta madhara gani kwa hilo!? USA na Israel wamekataa kumsaidia Saudi Arabia kupigana dhidi ya Houthi. Mwishowe Houthi amekamata miji yote muhimu na...
Huwa bandiko zako za uongo sana kijana punguza uongo.
April 7 ambapo ceasefire ilipokua inajadiliwa Islamabad Israel ilishajitoa vitani mapema sana. Na sababu ya kujiondoa vitani ni kwasababu air defence batteries zilikua zimewaishia na hawakua na ulinzi wa anga tena. Ndio maana hata baada ya...
Maadui wa ndani wanaweza hata wasiwe raia bali baadhi ya viongozi wa jeshi wenye tamaa ya madaraka. Washika silaha 90% waliopigana dhidi ya Gaddafi walikua ni millitary servicemen. Na ndio maana nikatolea mfano wa Misri.
Mtu mmoja kwenye system akiwa na ulafi ana uwezo kutumika kuangusha system...
Bro unaropoka tu. Gaddafi hakumkandamiza yeyote. Basi tuachane na hilo, Yasser Arafat alikua kiongozi bora Misri,kwanini walimuua!?? Mbona kama wewe ni mgeni kwa waarabu!??
Hakuna silaha nzito JWTZ aliyoenda nayo. Silaha nzito utasema ile sabasaba gun!?? Maana ile ndio silaha nzito pekee ambayo walikua nayo.
Na JWTZ hawakupewa uhuru wa mashambulizi. Unadhani JWTZ wange deploy A-100 mlrs za kutosha hiyo m23 ingepona!?
Ungekua unafuatilia documentaries za sasa kuhusu Libya aisee asilimia kubwa ya raia wanajuta kuuawa kwa Gaddafi.
Hakuna cha nguvu ya umma bali ni baadhi ya watu wenye uchu wa madaraka ambao walimwagiwa silaha na wakaungwa mkono na NATO. Na ndio hao hao walimuua mtoto wa Gaddafi mwaka huu...
JWTZ haikuwenda na silaha nzito zozote ACHA KUONGOPA. Silaha walizikuta kule kule na walikua wakipokea maagizo kutoka jeshi la UN. Na walikua na limited fire power hawakupewa uwanda mpana wa kufanya mashambulizi kama 2013. Embu kafuatilie 2013 Mwakiborwa aliwafanya nini hao m23. 2013 JWTZ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.