Kule juu tulikuuliza taja makundi ya kigaidi yanayofadhiliwa na Cuba hujajibu.
Iran hakuna kundi la kigaidi inafadhili,kama unazungumzia Houthi,hizbollah na Hamas basi tambua ni MAREKANI na Israel peke yake ndio wanawatambua kama magaidi. Ila per international community hawawatambui kama...
Eti terrorist maana yake hofu PUMBAF,terrorism maana yake kusambaza hofu kwaajili fulani.Yani ufananishe wauza madawa ya kulevya na magaidi!??
Aiseee UPUMBAVU NI MZIGOO!
Nikupe tu fundisho la mwisho terrorists they do spread terror for THREE MAIN PURPOSES, SIASA,DINI NA MATAKWA BINAFSI. Gaidi...
Uko serious we KIJANA!? Marco Rubio ambaye ni katibu mkuu wa serikali ya Marekani ndio kasema hivyo wewe uamini!??
Nina maswali mawili kwako.
1.Nitajie kundi moja tu la ugaidi Cuba?
2.Marekani ilisema kuwa Iraq ina silaha za maangamizi 2003 je zilioneshwa hizo silaha!??
Huo ndio ugaidi!??
Drug cartels how comes is related to terrorism!??
Hizi propaganda za kuhusisha Iran,Urusi na Qatar ziondoeni tulishazipinga humu na ushahidi kwa nyuzi nyingi tu.
Kama haujui hao drug cartels wa Mexico hupokea silaha kutoka USA na silaha nyingi wanazotumia ni US made and...
Point kuu aliyoleta mleta mada ni kuwa muislam akifanya tukio HATA KAMA ASIJIHUSISHE NA DINI ATAITWA GAIDI wa kiislam. Na mifano ipo mingi sana. Ila mkristo akifanya tukio lolote baya hutosikia akiitwa gaidi bali atapewa uhalifu mwingine. That is the point.
-Kafuatilie BELT AND ROAD INITIATIVE mkakati wa China duniani wa ujenzi wa miundombinu hususan kimikopo.
Nchi za Ulaya zilizokopeshwa.
*Bosnia.
*Yugoslavia
*Italy n.k n.k
-Tanzania miradi mingi ya barabara na madaraja mmejengewa kwa mikopo ya China.
Mkiambiwa ukweli mnaleta porojo zingine. Unakataa kuwa ulisema hao hawahusiki kuwa magaidi kulingana na statement yako.
-Shetani ni Yesu ambaye aliruhusu Pope Francis abariki ndoa za mashoga.
-Everybody know Hitler killed jews himself no one outside Germany was involved. The same muslims you are...
Kama hujui si unayamazishe tu hilo kalio unaloliita mdomo!?
-Ugaidi maana yake ni kusambaza hofu kwa vitendo kwa dhamira ya dini,siasa ama mlengwa binafsi.
Haijalishi dini hao wakristo ni magaidi maana wametenda maovu kwa dhamira ya mlengwa binafsi. Ndio maana hata Mandela aliitwa gaidi kisa tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.