Recent content by KG.KASELO

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kama umepangiwa vyuo viwili unafanyaje ile kuconfirm kimojawapo.

    Ukipangiwa vyuo viwili unafanyaje ili kuconfirm kimojawapo?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Magufuli na Makonda watawaweza 'watoto wa mjini'?

    Nimemuelewa sana huyo mzee! Real he was a great man.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Siasa: Nape kutoka Vuvuzela kuwa Shujaa wa Wapinzani

    Shida ya Watanzania sio wavumilivu, tunapenda kutoa matokeo ya jambo lolote kabla ata halijafanyiwa kazi. Nape tumemzalau sana nakumbuka leo tunamuona mtu mzuri. Kumbe tumesahau kwamba Nape wakati akiwa katibu mwenezi wa chama ilikuwa ni ngumu kisifiwa na upande wa pili, saiv yeye ni waziri...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ole Sendeka, walipeni Uhuru mishahara kwanza, achaneni na Zitto na Lowassa

    Wewe unachokipinga ujakielewa. Swala ni kwamba lowasa, alishaondoka ccm, sasa kwann mnafuatilia?? Huo ni udhaifu mkubwa sana!! Ukweli ni kwamba lowasa anaogopwa Sana ndani siasa za ccm. Ole sendeka afanye kazi bana. Amuache lowasa kwa sababu yeye alishaondoka ccm. Zitto ni mwanachama wa...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini walimu wengi wanaotokea DUCE na MUCE wawapo field au kazini hung'ang'ania kutaja UDSM?

    Kutokujiamini tu....afu main campus ni heshima kubwa sana ukiwa unasoma pale. Kuna jamaa angu mmoja alinitembelea cku mmoja kutoka Duce pale mlimani. Aiseee.....alishangaa sana namna shule ilivyoo. ....even wearing style ya main campus....! Jamaa alijua yuko ulaya. .....
  6. K

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu

    Elimu yetu inaitaji maboresho makubwa sana, ikiwemo mishahara ya watumishi wa u walimu pamoja mazingira ya kuishi.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mikopo Tanzania ni jibu linalotakiwa kutumbuliwa

    Mpaka leo magufuli anasubili nin kutimua mkurugenzi wa bodi ya mikopo?huyo ni mtu ambaye alitakiwa awe fired mapema sana! Hafai kabisa kuendelea kuwepo pale.kama kweli maguful Ana nia ya Dhati ya kufukuza wapuuzi wote huyo amuondoe mapema sana.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nitawezaje kupata msaada wa kusomeshwa?

    Ngazi wa degree organization zipo nyingi tu!
  9. K

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya sekta ya elimu

    Mpango mpya wa elimu, uliotangazwa hivi karibuni, kiukweli hawajafikiria vizuri tatizo hasa la elimu, tatizo la elimu sio kuongeza miaka ya kuhitimu shule ya msingi, kutoka miaka saba mpaka kumi, tatizo ni vitendea kazi, mazingira ya kujifunzia, mishahara ya walimu, haya ndio mambo ambayo...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini UDOM inadharaulika kiasi hiki?

    hicho ni chuo cha kata jamaan,,ilo mbona liko wazi,,,kuna tangazo moja hapa mjin nimeona,linasema hivyo,udom akuna
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania with education

    Last year,the budget of ministry of education and vocational training was more than fifty percentage of the whole budget,but still most of the students got chance to join higher learning institution didn't got loan,now the question is,the budget of this year 2014 to 2015,is more than seventy...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu,,,,

    Yaan dem wangu mim ukimuona,,,,,,kwan unanijua vizur mim?kwan uko chuo gan ------ wewe?najua tu ni teku au udom,,,maneno kama hayo wanaongea mademu wa teku au udom,,,maana chuo kama udsm uwezi kusoma ---- wewe!!!!!!!!!!!!!eeeeeeee!et demu kama mim!!!!hiv unajua totoz ninaochukua mim?njoo hole...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nchi yetu,,,,

    Asante mke wangu,,lakin tunakutana kitandani mbona uniambii?
  14. K

    JamiiForums Tanzania HESLB - Appeals

    Mbona walisema watayaweka majina ya wanafunzi wataokuwa wamefaulu rufaa zao kwenye web yao,,,mbona kimya na kwa nin wapeleke chuoni?
Back
Top Bottom