Recent content by Keyura

  1. K

    Tuwe Makini na Hila za Mabeberu, tusije ingia Kingi

    Mabeberu wa ccm. Wanaojilimbikizia mali?
  2. K

    Waislamu tuwe makini na watu kama akina Ponda na mfanowe

    Umemsahau yule wa kawe. Mwenyekiti wa Kamati ya Amani shehe wenu wa sam
  3. K

    Kauli ya Mwenyekiti Taifa CCM kwamba kila mgombea ajipiganie inatulaza roho juu tuliounga juhudi, hatuna mizizi CCM, tusaidiwe

    Wametoka kwa mbwembwe na hawatachaguliwa kwa mbwembwe walidanganywa wakakubali sasa yanawatokea puani.
  4. K

    Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

    Tiss ni kijitawi cha ccm hamna wwanachokifanya kwenye nchi kikaonekana. Kama nchi inaibiwa wapo. Ufisadi unafanyika wapo, utawaona wakishughulika na upinzani tu kwa mambo yenye tija kwa nchi wapo kimya.
  5. K

    Kwako Afande Muroto RPC wa Jiji la Dodoma zingatia hili mkuu

    Aisee sarufi inamushikeli. Nikuhongezehe= Nikuongezee Tahalifa=Taarifa Taarifa yako ni nzuri lakini.
  6. K

    Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

    Hahaha aiseee unasemaaaa TISS hii ya CCM? Inayoongozwa na Diwani?
  7. K

    Igizo la lockdown: CHADEMA inacheza kamari

    kama yule aliyekimbia ikulu
  8. K

    Ummy Mwalimu na Faustine Ndugulile mmeamua kuua wananchi kwa maamuzi ya kukurupuka?

    Wanajamvi, sina nia ya kuichafua wala kuishutumu Serikali kwa hatua mbalimbali wanazochukua kwa ajili ya kujikinga na maradhi ya Covid-19. Lakini hapa serikali ilipofikia naona imeamua kwa makusudi kuua wananchi kwa maamuzi ya kukurupuka hasa kwa kuwahamisha watu waliojitenga mahotelini na...
  9. K

    Waziri wa Maliasili na Utalii, Dtk. Kigwangalla amtuhumu aliyekuwa Meya wa Iringa, Alex Kimbe kwa ujangili baada ya kuua chatu

    Aanze kwanza na yule askari aliyeua nyoka mbele ya Waziri Mkubwa akapewa 200,000/= akimaliza aje kwa mayor.
  10. K

    Hivi uongo kwamba TISS hawastaafu kwanini unaaminiwa?

    Hawastaafu kwa maana ya kutokuacha umbea. Wakistaafu wanaanza kupelelezana wastaafu wao kwa wao hadi wanawapeleleza wanajumuia wenzao makanisani ndo shida iliyopo ya TiSs full umbea midomo ka filimbi.
  11. K

    Kitila Mkumbo zaidi ya umjuavyo

    ok mchango mkubwa katika siasa...
  12. K

    Mhandisi msanifu wa jengo la Ikulu Dodoma ni wa kiwango cha kata

    Hoja yako ina mashiko saana lakini. Hakuna Mhandisi Msanifu. Ni Msanifu wa Majengo=Architect na Mhandisi=Engineer. Hiyo lugha uliyoitumia ni kama Diwani wa Kata ambaye hajui lolote ingawa yupo kwa kutua maamuzi ya halmashauri.
  13. K

    Corona imekuwa mradi wa Serikali au Mradi wa watu? Wanaowekwa karantini walalamikia bei kubwa ya hoteli wanazopelekwa

    Baadhi ya Wasafiri waliofika Uwanja wa Ndege wa Dar na kutakiwa kujiweka Karantini kwa gharama zao wakilalamika kuwa wametakiwa kukaa hoteli zenye gharama Wasafiri hao wameomba msaada kwa Mamlaka hususan Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwani wametakiwa kukaa katika hoteli za Southern Sun, Rungwe...
Back
Top Bottom