Kutoa taarifa za Wateja ovyo ni kinyume cha sheria. Upo utaratibu wa uhakiki wa chombo pale unapotaka kuuza/kununua ama kubadili umiliki kwa sababu yoyote ile.
Sheria ya usimamizi wa kodi sura ya 438, kipengele cha 3 Sehemu ya 21 kinaelezea vizuri suala hili.
Elimu inahitajika sana kuwaelewesha wafanyabiara ndogo ndogo kuhusu kodi hii ya VAT ya 18%.
1. Kodi anayelipa ni mlaji wa mwisho, hivo kutokuchukua risiti Manake umemwachia muuzaji hii Pesa. Muuzaji haumii kwa namna yoyote kwenye hii kodi
2. Kuna kitu kinaitwa VAT refund yani tofauti ya input...
Mbona simple tu, mchanganuo umewekwa hapo, onyesha namna uyo mtu atakavyosave.
Kila aina ya matatizo yana suluhu zake, ila nasisitiza ulichoandika hakifanyi kazi kwa makundi yote.
Mkuu upo sawa kabisa. Nafurahi kwa kuwa umesema umeishi kijijini so unafaham maisha halisi ya mtanzania.
Kwa kuwa una uzoefu na maisha nionyeshe mtu mwenye familia ya watu watatu anavyoweza kuishi, kusave na kuinvest kwa kipato cha 200,000(sina uhakika sana lakini naamini kuna wengine...
Uzi wako una hoja ya msingi lakini uneshindwa kucapture maisha ya wenye kipato cha chini ambacho kinachapatikana hakitoshi hata mahitaji ya msingi, yani inabidi wacompromise hata mahitaji muhimu kabisa Ila waweze kuishi. Mtu Kama uyo unamwambiaje awake 10% za kujilipa?
Bili ya kawaida sana mjini hiyo na inawezekana ni maeneo Ambayo vinywaji vinauzwa bei elekezi.
Kingine usizoee Kulishwa /kuleweshwa na mwanaume mwenzako halafu unafurahi umeachiwa na Pesa.
Sio dalili nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.