Recent content by KeyceNjou

  1. K

    Natafuta mkulima wa matikiti maji

    xawa kama upo serious tawasiliana! yangu bado yapo jikon na usafiri ni uhakika kama upo dar!,
  2. K

    Ukipewa milioni 1, utaiwekeza kwenye biashara gani?

    Nenda mahenge kachukue mchele kg1000 kwa laki nane tafuta genge sehemu yenye mzunguko wa biashara lipa kodi 50 nauli yako na mzigo ni 100 utauza kwa bei ya 1300=1300000
  3. K

    Mbegu za Nyanya aina ya Anna F1

    mkuu na mie nahitaji sana hyo jambar f1, anna f1, na mbegu ya hoho inaitwaje?, nahitaji hyo namba, pia kuna mtu aliyejaribu kuipanda akapata mavuno angalao robo tatu ya makadirio ya hzo gunia 230 ambapo ume prove?, nitajitahidi nizipate mbegu zote hzo! Msaada wako tafadhali
  4. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Heaven on Earth hamna k2 ka hiyo labda ww ni fremasor ndio wanaimani hyo na wataish hapa kwa miaka isiyozid 80, na wakifa watakiona coz lazima waende jehanam na moto ule ni kwa dunian ni miaka 1000, jehanam ni mwaka 1!
  5. K

    Msaada kilimo cha chinese

    Habari zenu waungwana humu ndani, hope mko njema that y twakutana humu, ombi langu naomba wenye ujuzi ktk kilimo cha mbogambogo wanisaidie maujuzi ya kilimo cha chinese, kuanzia kuandaa shamba hadi mavuno!, imani yangu nitapata somo zuri kama nilivyopata somo la vitunguu swaumu now nipo...
  6. K

    Taarifa kwa wote ambao wanataka kujiunga na Graduate Vikoba

    Xaxa mkoan ndio wapi chaukucha?!, vikoba mnaijua kweli nyie?, mie simo wa mkoani
  7. K

    HII ndo Mikoa tajiri Tanzania (Kwa mujibu wa BOT), Mbeya yaishinda Arusha...

    Vipi kwa morogoro source ni ipi mpaka kupita arusha?
  8. K

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    Nimekuelewa sana ndugu, kwa mkulima ninaeanza kilimo kwa capital ya kuchangisha kwa mjomba Na binam,itabidi nisubiri kidogo!, but hyo source ya fund itabidi nikuombe unipe maelezo kidogo kwani itanisaidia sana kupanua kilimo changu hiki kdogo!, asante..
Back
Top Bottom