Tatzo Elimu yetu ya Chuo inatupotosha kiasi kwamba tunachukulia Ng'ombe kama kuku. Mimi nimezaliwa katika Mazingira ya ufugaji na hakuna mfugaji anaweza tumia Hizo ghalama zako Kwa mwezi labda anayefuga kuku. ukitaka kuamini Anza hiyo Biashara ndo utajua kuwa ulikuwa sahihi wakati unapotosha...
Kwanini USA wanalazimisha nchi nyingi Duniani kutumia Dollar ili kununua vitu Kimataifa?.
Kwanini USA wanawapandishia kodi Nchi nyigne kuna nini hapo au ni kwamba USA ndo Great Market in This World Only?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.