Migongano ya Maslahi ya Kisiasa
Nchi nyingi za Kiarabu zina masuala ya ndani kama siasa, uchumi, na migawanyiko ya kidini (Sunni vs Shia). Hivyo mara nyingi huchagua kutojihusisha sana moja kwa moja ili kuepuka kugombana na mataifa makubwa.
Baadhi ya serikali za Kiarabu zina hofu kuwa ukitoa...
Serikali na TANROAD mkoa wa Mara hii barabara ni kero na inasababisha ajali na kupoteza maisha ya watu
Mashimo mengi na kila mtumiaji wa chombo cha Moto anakwepa mashimo na kusababisha ajali
Kwa utafiti wangu niliofanya nimegundua mwezi December ni mwezi wa ma-ex kupasha viporo
Ombi langu kwa jinsia ya kike mliobahatika kuolewa na wanaume wa mikoani na ukaishi huko mikoani chonde chonde achana basi na wapenzi wako wa zamani ,mnaebisha
December inakaribia unamuomba mmeo ruhusa ya...
Kuna video na picha zinatrend mitandaoni zikionesha Mchezaji wa Yanga na Hamisa Mabeto wakiwa katika dimbwi zito la mapenzi katika uwanja wa mazoezi
Licha ya ofa kubwa kutolewa kwa Aziz Ki bado akaona asingemuacha Mabeto mbali ya mboni ya macho yake
Sifa nyiiingi kwa injinia kumbe sivyo ,sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.