Recent content by keshy super sembe

  1. keshy super sembe

    Marks ya chini kabisa ambayo ulishawai pata kwenye mtihani ni ngapi

    Hivi yule kipanga aliyekataa mshahara wa million 400 kwa Trampo yuko wapi Tz na anafanya nini. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. keshy super sembe

    Behind every successful man...

    Kauli za waliofeli mo dewje hata mke wake sijawahi muona. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. keshy super sembe

    Ushauri: Mtumishi wa Serikali alipwe mshahara endapo sikukuu zikiangukia tarehe za 20+

    Wewe chapa kazi tarehe bado punguza kulia lia ck hizi huko serikalini hakuna malupulupu mpaka mlie lie jukwaani. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. keshy super sembe

    Hii ndio Njia bora ya kufanya mkeo,mchepuko na MTU anaekudai asikupate hewani

    Wewe MTU mmoja tu akufanye usipatikane kwa watu wote. Lete njia ya kumfungia huyo mmoja sio wote.utakosa dill bure.
  5. keshy super sembe

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Braza unaakili sana huwezi kumshauli MTU abaki na hilo pagare et atalimazia kulijenga na wakati hana kipato pesa uliyoweka hapo ni ndogo mno kuliko unayodaiwa kulimazia hilo jengo .kwa Mimi ushauli wangu uza hiyo nyumba kabla haijachakaa na kuoza tofali anza biasha ukiwa na machungu ya kuuza...
  6. keshy super sembe

    Ushauri: Nimejenga nyumba lakini kabla haijaisha nikafukuzwa kazi

    Nakushanga sana tena sana unataka ukae na hicho kiwanja cha nini ,uza upate mtaji uzungushe utajenga nyumba nyingi zaid ya hiyo.
  7. keshy super sembe

    Andika sababu ya kifo kutokana na mazngira

    Yatakuwa mapenzi tu hayo.
  8. keshy super sembe

    Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

    Yeye katudanganya muda yaweza kuwa yuko Mbeya huyu hebu tuachie jiji letu lililojaa raha kesho kapripoint
Back
Top Bottom