Recent content by Keshoyangu

  1. Keshoyangu

    Niishije ishije kwenye hiyo miaka iliyobakia?

    Acha kujiwekea Sheria ngumu kijana, ishi muda ukifika utaondoka tu
  2. Keshoyangu

    Unakumbuka nini ukisikia jina la Adam Simbeye kwenye THIS WEEK IN PERSPECTIVE

    Daah umenikumbusha Mzee Adam Simbeye alikua anatema ngeli imenyooka sana
  3. Keshoyangu

    Jamii ya Kitanzania iache kulazimishana kuongea na watu, kama mtu huyo hapendi

    Tanzania bado Ina mfumo wa ujamaa huwezi kuukwepa Relax
  4. Keshoyangu

    Kwa wakongwe tuu. Kumbukizi zenye simanzi

    Tulikua tunaita kata upepo aisee
  5. Keshoyangu

    Nataka kufuga nyuki kisasa

    Nimeipenda hii
  6. Keshoyangu

    Kumbukumbu zisizofutika

    Ukiweza futa namba yake ya simu kwenye contact yako
  7. Keshoyangu

    Kumbukumbu zisizofutika

    Aisee Pole Sana Mkuu
  8. Keshoyangu

    Tv show cases series

    Kazi tamu Sana hizi Mkuu
  9. Keshoyangu

    Waziri Ndejembi azuia uendelezwaji wa eneo lenye mgogoro Sumbawanga

    Nakumbuka kamati ya bunge walisoma mapendekezo yao bungeni sijui iliishia wapi
  10. Keshoyangu

    Unamchukuliaje mama yako ambaye hataki kukupa ukweli kuhusu baba yako mzazi na kuacha utumie ubini wa mtu mwingine?

    Vp ikiwa maumivu yalisababishwa na mama na sio baba Kuna Siri nzito Sana Hapo nenda polepole
  11. Keshoyangu

    Kwa Wazazi: Utapeli wa English Medium upo katika maeneo yafuatayo

    Kuuliza maswali yote hayo sidhani Kama utapewa ushirikiano mzuri
Back
Top Bottom