Recent content by Kertel

  1. Kertel

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Nawe bogasi.Si mmesema mtaiburuza serikali mahakamani,sasa huko serikalini Nchimbi si ajiuzulu
  2. Kertel

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Kama ni hivyo anzeni na Nchimbi mwenyewe maana huko mnako mdai aliwapa taarifa kuwa anaachia
  3. Kertel

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Huku si kuingilia faragha ya Nchimbi,kwani mmemkosa nyumbani kwake?
  4. Kertel

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa kujiunga na Freemasonry

    Ndugu wa kweli hawa jamaa
  5. Kertel

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasira: Serikali iombe radhi kwa kosa gani? Yale hayakuwa maandamano ni ghasia

    Sass maridhiano ni ya nini?Mchonyo wake huyo ngedele
  6. Kertel

    JamiiForums Tanzania Polisi: Madeleka tunamshikilia kwa kudharau amri ya mahakama Kuu

    Mbona akina katuga hawakamatwi?
  7. Kertel

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Wako wanakusanya vijana kwa ajili ya vikundi vyao vinavyaratibiwa mwaipopo
  8. Kertel

    JamiiForums Tanzania Update kesi ya Lisu Naona Leo wamefungua box la Pandora la tarehe Ile mbaya kuliko zote tangu tupate uhuru Bora tufanye maridhiano

    Siasa tu.Mahakama kama iko huru,hakuna ushahidi wa kumtia hatiani mpaka sasa maana kila shahidi anaongelea hiyo video na video yenyewe mahakama ilishaikataa
  9. Kertel

    JamiiForums Tanzania Rostam kujenga LPG terminal Mombasa ni udhihirisho kazi ya wahindi ni kuvuna utajiri Tz na kwenda kuwekeza nchi nyingine

    Kwa mazingira haya Tz,mwekezaji gani ataweka mtaji waje Tz
Back
Top Bottom