Recent content by Kertel

  1. Kertel

    JamiiForums Tanzania Rostam kujenga LPG terminal Mombasa ni udhihirisho kazi ya wahindi ni kuvuna utajiri Tz na kwenda kuwekeza nchi nyingine

    Kwa mazingira haya Tz,mwekezaji gani ataweka mtaji waje Tz
  2. Kertel

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Je ameandika mwenyewe au ni kama ilivyokuwa cha Chongolo?
  3. Kertel

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Wanaotaka kufika makete huu ndio muda sasa
  4. Kertel

    JamiiForums Tanzania Pre-Session Meeting ya tarehe 05 Agosti 2026 - Ni mwanzo kwa ATL kuwa Huru na Masharti ya Common Wealth Kufuatwa???

    Ikulu?Afya kwanza,ya mwili na ya Roho
  5. Kertel

    JamiiForums Tanzania Je kudondoshwa Kwa mawakili wa Serikali takribani 10 na Lissu akiwa peke yake pale court of Appeal ina maana gani?

    Ila anawaacha kende zote nje na misingi ya rejea za kisheria inawekwa. Shida ya kuwaza usawa ya pua
  6. Kertel

    JamiiForums Tanzania Ruhusa ya mikutano ni mtego kwa CHADEMA

    Wanataka kufifisha swala la ugaidi
  7. Kertel

    JamiiForums Tanzania Wimbi la kesi za ugaidi litaathiri taswira ya nchi na sekta ya utalii kwa namna ambayo Serikali haikutarajia

    Kumbuka mtendaji mkuu wa serikali ni mwigulu nchemba mtu mwenye ushahidi duniani na mbinguni dhidi ya ugaidi wa Rwakatare(RIP)
  8. Kertel

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Unanufaika vipi na matishio ya ugaidi haya?
  9. Kertel

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Vipi kuhusu usalama wa wanamichezo na wageni?maana tayari serikali inatuambia kuna matukio ya ugaidi na magaidi nchini
  10. Kertel

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Husda, Chuki, Wivu,Ugomvi kati ya Waislamu wa Shia na Sunni. Na Shia huwadharau Sunni kwa kuwa wao wanaonekana wana Elimu na Akili

    Hivi wale wanaopenda kuvaa suruali zile"kwetu kuna mito" (zile fupi zinazofika juu ya ankle) ndio wa shia au sunni?
  11. Kertel

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Maelekezo toka juu: Fungeni account za CHADEMA siku chache kabla ya mkutano mkuu, wape kesi ya utakatishaji

    Wa karibu na malkia si jamii ya akina mwaipopo
  12. Kertel

    JamiiForums Tanzania Sheikh Ponda: Mahakama itende Haki kesi ya Lissu

    Hao hata wale mashekhe ambao wako mahabusu kwa tuhuma za ugaidi miaka na miaka huwezi kuwasikia wakiwaongelea,wanawaza kuchinja wanaotumia haki yao ya kuandamana tu.
  13. Kertel

    JamiiForums Tanzania KKKT Msikubali CCM iwageuze BAKWATA

    Sio kugeuzwa tu,wameinamishwa
Back
Top Bottom