Recent content by Kertel

  1. Kertel

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Uache kukoroma ukilala
  2. Kertel

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu tumechoka na michango ya Mwenge

    Hizo wanakula halmashauri hapohapo na ndio zinazogharamia wakeshaji wanaolombana kwa condom za bure zile za zana
  3. Kertel

    JamiiForums Tanzania KERO Mshahara wa Waganga wafawidhi wa Zahanati na vituo vya Afya hauna tofauti na wa Daktari wa kawaida, Serikali itupatie posho ya madaraka

    Incharge ni kiingereza,mfawidhi ni kiswahili.Maana yake msimamizi mkuu wa kituo inaweza kuwa zahanati,kituo cha afya au hospital au sehemu yoyote. Mfawidhi aliyeeko level yoyote ile anaripoti moja kwa moja kwa DMO
  4. Kertel

    JamiiForums Tanzania HOJA Vigezo Vipya vya Kujiunga na Diploma ya uuguzi viko juu sana

    Kweli aloo,kwenye afya vilaza ni wengi kuliko elimu kama watu wanavyodhani
  5. Kertel

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    Unafikri CHADEMA ni kama ccm ambako mwenyekiti anajiamulia tu.No Reforms No Election ni maamuzi ya kamati kuu ya chama sio mwenyekiti.Mwenyekiti ameagizwa/aliagizwa kusimamia
  6. Kertel

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Ummy Mwalimu ateuliwa kuwa Mshauri wa Rais Samia kwa masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto

    Unapewa kesi ya uhujumu uchumi
  7. Kertel

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia hakwenda kumzika Bi. Suzan Magufuli, Mama wa aliyekuwa Rais wa Tanzania?

    Inakimbia spana za Padre msibani
  8. Kertel

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Simba wamemtema Ahmed Ally, hawawezi kuchukua Ubingwa ligi ya NBC Premier

    Mbona ufake wa barua upo wazi sana,ndio kusema hata wewe mtoa post hujagundua kuwa ni fake?
  9. Kertel

    JamiiForums Tanzania Vyama vya wafanyakazi vyalia na ongezeko la kodi

    Manyoko zake,yeye si ndio alisema wafanyakazi hawana madai
  10. Kertel

    JamiiForums Tanzania Mbunge Muhsin Haji: Niwaambie vijana wa Tanzania mtakuja kumkumbuka Rais kwa makubwa aliyofanya kwa nchi hii

    Kwakweli atakumbukwa kwa makubwa,mauaji makubwa ya raia
  11. Kertel

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Watekaji si wamechukua pingu yao
  12. Kertel

    JamiiForums Tanzania Ufanyike mpango ili tuwe tunajisajili na mitandao yetu kwa kutumia IDs za NIDA.

    Tengenezeni mitandao ya kwenu
  13. Kertel

    JamiiForums Tanzania Je, January Makamba “anahifadhiwa” kisiasa kwa ajili ya urais wa baadaye?

    Unamjua rais wa mianmba?
  14. Kertel

    JamiiForums Tanzania Je, January Makamba “anahifadhiwa” kisiasa kwa ajili ya urais wa baadaye?

    Rais wa miamba na madaraja anasema ijayo ni zamu ya kanisa lao na yeye ndio mpeperusha bendera
Back
Top Bottom