Brother mimi ni mnunuzi wa ao kuku broiler Nenda uko Chamazi Magengeni uliza wauzaji uko wananunua broiler 5000 na wao wanauza paja 1000-1500, kidali 1900, firigisi 700, Miguu na kichwa 300, shingo 500 na hawa elfu 5000 awajatengenezwa ukitaka wakutengenezee ndo 5800
Kuhusu nyama ya ngo’mbe...