Recent content by KENTUFYA

  1. K

    MKURANGA KUNA UPIGAJI KWNYE MIUNDOMBINU YA BARABARA

    FIKIRIA BARABARA IMEJENGWA MWEZI WATANO HAPA VIKINDU MWEZI WASITA INAWEKEWA VIRAKA....KULIKUA NA LAMI NZURI IMETOLEWA IMEWEKWA MBAYA HADI UNASHANGAA KWANN WAMEIWEKA IO LAMI,VIONGOZI WASERIKALI WAPO NA MBUNGE YUPO......LAMI INAE VUMBI IO UTASEMA UNAPITA KONDOA...
  2. K

    NI MUDA MZURI SASA KWA WAZIRI WA FEDHA KUJITAFAKARI ,IKIWEZEKANA AJIUZURU NAFASI IMEMPWAYA.

    HAKUNA WAZIRI ,DUNIA INAPITIA KWENYE CHANGAMOTO ZA KIFEDHA,YEYE ANATAKA KUSAJILIWA MSIMU UJAO....TUNA VIONGOZI WA HOVYO SANA TZ....IKO SIKU TU INSHALLAH TUTAFIKA KWA WAKENYA.
  3. K

    NI MUDA MZURI SASA KWA WAZIRI WA FEDHA KUJITAFAKARI ,IKIWEZEKANA AJIUZURU NAFASI IMEMPWAYA.

    NAWAZAAA,NADHANI NI WAKATI SAHIHI SASA KWA MHESHIMIWA NCHEMBA KUJIUZURU KUEPUSHA YA KENYA HAPA TZ...AMEISHINDWA WIZARA ANANUNULIA TEAM ZA MIPIRA KWA MASIRAHI BINAFSI...AMESHINDWA KUA MBUNIFU KWA SWALA LA MAPATO NI MTU ANAEKURUPUKA BILA KUFIKIRIA WATANZANIA. SAY NO TO MWIGULU.
  4. K

    KERO Barabara za Vianzi Vikindu jimboni kwa Mbunge Ulega ni changamoto kubwa sana

    mwenyekiti anaweza jiongeza kilometa tatu...Mbunge haana kipaumbele.
  5. K

    KERO Barabara za Vianzi Vikindu jimboni kwa Mbunge Ulega ni changamoto kubwa sana

    Hapa ni Vianzi Vikindu barabara ni shida na mbunge anajua, tusaidieni wadau kwani ni aibu, Wadau mtusaidie.
  6. K

    Unadhani uchumi utakua endapo bidhaa inayozarishwa nchini inakodi kubwa na ile inayotoka nje free tax?

    Tunadanganyan sana ikifika swala hili,nikazi kwa uchumi wa nchi kukua kama bidhaa inayozarishwa nchini iko juu kifedha kulinganisha na ile inayoingia kutoka nje. KWANINI- Sababu bidhaa ya ndani ikipelekwa nje inaenda kuuzwa kwa dollar hivyo kuongeza mzunguko wa fedha za kigeni nchini kitu...
  7. K

    Kenya Airways imepata faida baada ya miaka 7. Nashauri ATCL ibinafsishwe ili isiwe inatumika kisiasa

    MOJA YA FAILURE ALIYOIANDIKA MKAPA KWENYE KITABU CHAKE ENZI ZA UONGOZI WAKE NI UBINAFSISHAJI WA MASHIRIKA....ALISEMA KWAHILO ALIKOSEA NA ATAMANI RAISI MWINGINE AKOSEE
  8. K

    Watanzania wazawa wengi wenye viwanda wanapitia changamoto za uendeshaji. Waziri wa viwanda jitathmini

    Hii ni kutokana wengi wanafungua viwanda kusupport nchi yao, lakini wanasiasa kutokana na maslahi yao, wanaingiza bidhaa nchini bila kodi na bidhaa hiyo hiyo inayozalishwa nchini inakuwa na kodi kibao. Hatuwezi endesha nchi hivyo wanasiasa wanaharibu nchi kwa matumbo yao. Nilitegemea viwanda...
  9. K

    Serikali na Wizara ya Michezo tumieni mechi za CAF kama njia za kuongeza pato la taifa

    SAUDI ARABIA INATUMIA FEDHA NYINGI NOW KUVUTIA WATU KUJA NCHINI KWAO KUPITIA MPIRA.SISI TUMESHAJULIKANA KUA NUMBER MOJA KWA FANS LAST YEAR NI NGUVU KIDOGO TU ..TUTOKE TULIPO...MUNGU HAKUPI KILA KITU HATUNA INTERNATIONAL PLAYERS BAC TUTUMIE KILE MUNGU ALICHOTUPA YANI USHABIKI
  10. K

    Serikali na Wizara ya Michezo tumieni mechi za CAF kama njia za kuongeza pato la taifa

    ALIKAMWE ALIFANYA UBUNIFU KWA MECHI YA YANGA KUWA KAMA PACOME ILIONGEZA MVUTO ZAIDI...SASA WIZARA INAWEZA TAFUTA NAMNA YAKUWAPOKEA MAMELOD VIZURI NA MASHABIKI WAKAENDA NA BODA KUWASINDIKIZA HADI UWANJAN NA VIDEO ZIKACHUKULIWA ZIKASAMBAZWA AM SURE WATAPATA CHAKUSIMULIA....LAKIN WANAWEZA PELEKWA...
  11. K

    Serikali na Wizara ya Michezo tumieni mechi za CAF kama njia za kuongeza pato la taifa

    AFIKIRIE ZAIDI HII NIFURSA KUBWA KWA WATU WA BUNIFU ..SOCIAL MEDIA ZINAENDA VIRAL...WANGEWEZA PELEKWA ZANZIBAR BFR LEAVING AM SURE WIZARA INGEPATA WATU WABUNIFU HII NI FURSA KUBWA CZ MAMELOD WENYEW WANASHAUKU YA KUJA.
  12. K

    Serikali na Wizara ya Michezo tumieni mechi za CAF kama njia za kuongeza pato la taifa

    Hili wadau litaongeza ushawishi mkubwa kwa taifa kila nchi itachagua Tanzania kuja kuweka kambi badala ya kukataza jezi tutengeneze ela kupitia hili, wizara ifanye ubunifu tumeona Mamelodi wamekua na shauku kubwa kuja. Sasa mpira sio kupata kombe tu lakini tuutumie pia kama ushawishi wa kila...
  13. K

    Maslahi duni kwenye viwanda

    thats why sera za Viwanda na sekta nyingine ambazo hawafanyi wazawa kwenye tender masharti yawekwe na kuzingatiwa rasiivo miaka ya mbele tutakua na vijana waendesha bodaboda tu lakini pia vijana tuanze fwata siasa sasa tumewaachia tuliowaamini wametuangusha ..ni vizuri twende wenyew
  14. K

    Maslahi duni kwenye viwanda

    Sera mbovu za uwekezaji na viwanda nchini hili huchangia mtu kusaka vibali kwa gharama kubwa akipata anajitajirisha mwenyewe na fedha nyingi wanazochuma kwetu wanazipeleka kwao kwetu maslahi yanabaki duni Ni bora sera za viwanda zibadilishwe na Serikali itoe support kwa viwanda vya ndani, kuna...
Back
Top Bottom