Maslahi duni kwenye viwanda

KENTUFYA

Member
Nov 21, 2023
10
8
Sera mbovu za uwekezaji na viwanda nchini hili huchangia mtu kusaka vibali kwa gharama kubwa akipata anajitajirisha mwenyewe na fedha nyingi wanazochuma kwetu wanazipeleka kwao kwetu maslahi yanabaki duni

Ni bora sera za viwanda zibadilishwe na Serikali itoe support kwa viwanda vya ndani, kuna viwanda vingi sana vinazalisha bidhaa zao nchini lkn kuna bidhaa kama hizo zinatoka nje bila kodi wakati wa ndani vinatozwa kodi.

Mfano mzuri fuatilia mradi wa Mwendokasi Mbagala umetumia fedha nyingi lakini watanzania waliojikwamua kwa mradi huo hakuna, wengi walikuwa ni vibarua lkn mradi unakuwa na propasal kabisa ya watu watakaofanya kazi skilled na unskilled, why wanaajiriwa unskilled tu.
 
Sera mbovu za uwekezaji na viwanda nchini hili huchangia mtu kusaka vibali kwa gharama kubwa akipata anajitajirisha mwenyewe na fedha nyingi wanazochuma kwetu wanazipeleka kwao kwetu maslahi yanabaki duni

Ni bora sera za viwanda zibadilishwe na Serikali itoe support kwa viwanda vya ndani, kuna viwanda vingi sana vinazalisha bidhaa zao nchini lkn kuna bidhaa kama hizo zinatoka nje bila kodi wakati wa ndani vinatozwa kodi.

Mfano mzuri fuatilia mradi wa Mwendokasi Mbagala umetumia fedha nyingi lakini watanzania waliojikwamua kwa mradi huo hakuna, wengi walikuwa ni vibarua lkn mradi unakuwa na propasal kabisa ya watu watakaofanya kazi skilled na unskilled, why wanaajiriwa unskilled tu.
Ndugu yangu kentufya. Vijana wa kiafrika tunaish jehanamu. SEMA wengi hatujulijui Hilo..
Kazi tunazozifanya na kipato tunachokipata ni sawa na mbingu na ardhi. Ni maumivu makubwa sana Tena Sana.. ebu jaribu kubadulisha mshahara wa mtu anayefanya kazi kiwandani Kwa mo wa 150,000 kuwa dola au pound.

150,000÷2600= ni sawa na dola 60 Kwa mwezi. Ambayo ni Hela ya mtu analipwa Kwa masaa Kwa wenzetu.

Vijana wengi tunasubiria judgement day aisee. Vipato vyetu na kazi tunazozifanya haviendani. Unafikasha miaka 40 hata kiwanja hujanunua Wala nyumba hujajenga
 
thats why sera za Viwanda na sekta nyingine ambazo hawafanyi wazawa kwenye tender masharti yawekwe na kuzingatiwa rasiivo miaka ya mbele tutakua na vijana waendesha bodaboda tu lakini pia vijana tuanze fwata siasa sasa tumewaachia tuliowaamini wametuangusha ..ni vizuri twende wenyew
 
Back
Top Bottom