chakutaka, mm sio mwanachama wa chama chochote,naona ww mtu akiwa na mtazamo tofauti inakuwa shida, kwa hiyo tusijadili hii issue ya muhongo kisiasa ila kihalisia. yawezekana ukaja na hoja nikakuelewa. panga vizuri huo utetezi wako
Hata sisi tunajua Muhongo msomi! akiwa kazi anajanya vizuri na hayo mashirika. lkn katuibia au majizi yamemwingiza mkenge tufanyeje? tumwache sababu wazungu wanamtambua, jadili issue sio mtu. kwa iyo mtu akitwibia au kutuingizia hasara tumwache kozi ana elimu.
Bwana Ngonyani pole sana, naunga mkono kazi nzuri ulioifanya. kwa taarifa tu kuna sehemu pale kawe nilimkuta kijana mmoja tunafahamiana vizuri akiwa amezungusha mkanda shingoni, nikamuuliza hiki nn kabla hajajibu, wakaja mateja! zilikuwa zimefungwa kama karanga ila ni vidogovidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.