Recent content by kenonke

  1. K

    Hii ndio changamoto kubwa kwa Lowassa, angeweza kushinda kama..

    Huyu jamaa nilitarajia kuna kitu kipya anataka akiseme kumbe kamaliza.
  2. K

    Wasanii Aunti Ezekiel na Vincent Kigosi kutoka UKAWA wajiunga na kampeni za CCM

    Hao walikuwa watumbuizaji tu.hawana impact hats akiondoka mboye speed iko pale.Acha Escrow ikokote
  3. K

    Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

    Au we ndo umemwalibu kuko wazi huko?au anakitu mtwara.hahahaaaaa
  4. K

    Tupia majina ya baa za kibongo

    Ant-stress bar tabata
  5. K

    Zitto ndani ya kipindi cha Dakika 45 za ITV - Machi 16, 2015

    Heee kumbe lusinde yuko Bavicha?
  6. K

    Bodigadi wa zamani wa Dr. Slaa, Khalid Kagenzi akanusha kutaka kumuua Dr. Slaa

    mwanzon hakuwa na dini toeni hoja zenye mantiki ili tujifunze na tuelewe nan ana makosa ktk hii kadhia.
  7. K

    Alichokiongea Zitto Kabwe huko Mwandiga, Kigoma - Machi 15, 2015

    ww umetokea nchi gani si mlisema cuf ni wadini sasa watapataje udini mara mbili au mi sijakuelewa
  8. K

    Taasisi za Marekani, zamtambua Muhongo

    chakutaka, mm sio mwanachama wa chama chochote,naona ww mtu akiwa na mtazamo tofauti inakuwa shida, kwa hiyo tusijadili hii issue ya muhongo kisiasa ila kihalisia. yawezekana ukaja na hoja nikakuelewa. panga vizuri huo utetezi wako
  9. K

    Taasisi za Marekani, zamtambua Muhongo

    Hata sisi tunajua Muhongo msomi! akiwa kazi anajanya vizuri na hayo mashirika. lkn katuibia au majizi yamemwingiza mkenge tufanyeje? tumwache sababu wazungu wanamtambua, jadili issue sio mtu. kwa iyo mtu akitwibia au kutuingizia hasara tumwache kozi ana elimu.
  10. K

    Nilipompelekea IGP Mangu majina ya wauzaji wa madawa ya kulevya mezani kwake

    Bwana Ngonyani pole sana, naunga mkono kazi nzuri ulioifanya. kwa taarifa tu kuna sehemu pale kawe nilimkuta kijana mmoja tunafahamiana vizuri akiwa amezungusha mkanda shingoni, nikamuuliza hiki nn kabla hajajibu, wakaja mateja! zilikuwa zimefungwa kama karanga ila ni vidogovidogo...
  11. K

    Lowassa kawa lulu bungeni; wabunge wapanga foleni kumuona

    hilo gazeti ndo lile la msaki wa ugaidi,sasa unatarajia nn
  12. K

    Kutangaza nia ya ubunge CHADEMA

    candy wenye chama watakumeza
Back
Top Bottom