Recent content by kennyblue

  1. K

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kubadilisha kisima chenye Maji chumvi kuwa maji baridi

    Wateja wangu wanataka maji matamu ( baridi) kisima changu kina maji chumvi, nifanyaje wana jf? Nimeshauriwa niweke dawa ila hizo dawa sizijui.
  2. K

    JamiiForums Tanzania nini dawa ya kuondoa maji yenye magadi na arufu ya udongo

    Nimechimba kisima cha biashara sema maji yake yana magadi na arufu ya udongo na wateja wangu wanataka maji baridi(matamu) sasa nataka kuweka dawa ya kuondoa hayo magadi na arufu Nitumie dawa gani!!?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    ila iyo after shave sijawai kujaribu ..
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Mara nyingi nikinyoa ndevu kwa kutumia kiwembe au mashine( salon), natokwa na vipele naomba ushauri wana JF.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni haki kuhubiri hovyo hovyo kwenye mabasi ya umma?

    Tumepewa bure tunatoa bure....katika mahubiri yetu Hutukusanyi sadaka ieleweke Ivyo ....hasa sisi wa FGBF....(KAKOBE)...tumejifunza ivyo.
  6. K

    JamiiForums Tanzania UKAWA wasababisha Dr Hamisi Kigwangala kukataliwa jimboni kwake

    viongozi tumbo mbele umefika wakati kuwakataa.....time is now ..fukuza uyo kigwangala!!
  7. K

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Akiri Ofisi yake kutoa Maoni ya serikali tatu

    unajua Mungu ndo anahusika katika kuwapa wanadamu kutawala........sasa kwa namna ya kutisha viongozi wa kuu hasa wa CCM wamekua vituko mbele za watu halafu uongo wao unaonekana kabisa iyo ni LAANA! watumishi wa Mungu kama ASKOFU KAKOBE,MAASKOFU WA KIKATOLIKI, MASHEHE.......ni wazi Mungu yuko...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kakobe "Tanganyika huru lazima ipatikane, Nyerere sio Mungu naye alikuwa na mapungufu yake"

    ushawai kumuona mtu aliefumaniwa jasiri au Muongo.........MTU jasiri ni waMungu asilimia zote.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Askofu Kakobe: Nipo tayari kukatwa Kichwa kuliko kumuabudu Nyerere, Kosa kubwa ni kuondoa Mipaka ya Tanganyika!

    Huyu ndie mtumishi wa kweli asie tafuta kupendwa na wakubwa wa nchi......kwasababu kwa ukweli anaoongea apo juu serikali haiwezi kumpenda hata kidogo.......simamia kweli Baba Kakobe..
Back
Top Bottom