Sheria mpya imepungua viwango vya uzito wa upakiaji mizigo kutoka 30ton mpaka 28ton.sheria inataka mabadiliko ya mfumo wa ekseli kutoka super single mpaka double tyre.yaan magar yote ambayo yanatumia mfumo wa super single hayatakiwi kutembea barabarani kwa kigezo kwamba yana haribu miundombinu...
Hoja yangu ni kwamba.kwanini itumike nguvu kubwa kwenye nguruwe na sio zinaa?dhambi ya zinaa imeelezwa kwenye vitabu vya dini na adhabu zake zipo wazi na kwa ukubwa wa adhabu ya zinaa inatosha kabisa kutuonyesha kwamba zinaa ni kosa kubwa sana.swali langu ni je kwanini masheikh wetu hawatumii...
Inawezekana kukawa na uislam bila ya waislam?uwezi kutenganisha uislam na waislam hata siku moja.ili uislam uwepo wanaitajika kwanza waislam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinacho nishangaza Mimi kwenye uislam.zinaa haikemewi sana kama ambavyo wanakemea ulaji wa nguruwe.mla nguruwe anaweza akatengwa na uislam lakini mzinifu akaonekana shababi.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.