Habari wajuvi ,katika hii app mpya ya Zoom cloud meetings je unaeza kuextend izo 40 mins wanazokupa kama trial tofaut ka kufanya malipo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarin...napenda kuuliza ili uweze soma CCNA course unatakiwa uwe unalevel gan kielim mfano ata mtu anaeanza degree ya IT mwaka wa pili anaweza anza kusoma na pia n garama gan masomo pampja na mitihani ,den n vituo gan vinapatikana hasa kwa dar.....msaaada wakuu
Nampango wa kuutoa sehem yoyote ambayo itakua karib mfano moro....
Na pia mostly malengo yang n kufanya mauzo ya jumla meanwhile rejareja, na kwa jumla nauliza capital gan yawzakua nzr kuanzia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.