Recent content by kenlick00

  1. K

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nina jarib kujaza token alaf inagoma kisha inaandika error 00.,tatizo ni nini?
  2. K

    Zoom cloud meetings time extension

    Habari wajuvi ,katika hii app mpya ya Zoom cloud meetings je unaeza kuextend izo 40 mins wanazokupa kama trial tofaut ka kufanya malipo? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. K

    sumsung s7 edge pink line

    wadau kuna m2 yoyote anaejua jinsi ya kutatua pink line inayotokea kweny s7 edge? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Qualification za kusoma CCNA

    Habarin...napenda kuuliza ili uweze soma CCNA course unatakiwa uwe unalevel gan kielim mfano ata mtu anaeanza degree ya IT mwaka wa pili anaweza anza kusoma na pia n garama gan masomo pampja na mitihani ,den n vituo gan vinapatikana hasa kwa dar.....msaaada wakuu
  5. K

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Sawa....naomba uniambie mtaj gan mzr wawezakua mzur wa kuanzia
  6. K

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Nampango wa kuutoa sehem yoyote ambayo itakua karib mfano moro.... Na pia mostly malengo yang n kufanya mauzo ya jumla meanwhile rejareja, na kwa jumla nauliza capital gan yawzakua nzr kuanzia.
  7. K

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Kilichonivutia kufanya biashara ya mchele n kua n zao ambalo linatumika sana kwa matumiz ya watanzania
  8. K

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Ninampango wa kuanzisha biashara ya mchele dar naomba kujua n mahali gan kunaeza kua na mzunguko mkubwa, garama na mtaji pia.
  9. K

    Naomba msaada wa namna ya ku-bypass google account

    Naomba uweze nitaftia io link tafadhali
  10. K

    Naomba msaada wa namna ya ku-bypass google account

    Wakuu naomba msaada jinsi ya ku bypass google account password without recovery email au phone number
  11. K

    Division III ya 14 PCB anaweza kwenda shahada?

    Ata kama anamasomo yote F ila katika cire subject awe ana D mbili anaenda tuu
Back
Top Bottom